Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Kudadadeki..kumbe game saa mbili na dk 45..nilidhani saa tano.Watu mmepiga sana mdomo hapa dogo pellistri mbona aanzi haya Sasa leo kaanza.View attachment 2554073
GGMU
Kudadadeki..kumbe game saa mbili na dk 45..nilidhani saa tano.Watu mmepiga sana mdomo hapa dogo pellistri mbona aanzi haya Sasa leo kaanza.View attachment 2554073
Tunataka ushindi ya mbele yatajisumbukia
Kwahiyo hii ndio game ambayo Casemiro na Bruno wakila manjano wanakosa game ijayo? Na EtH kaamua kuwaanzisha wote na nyuma kuna ukuta wa Maguire?
Tunataka ushindi ya mbele yatajisumbukia
full mziki wa MACHOKO waliokojolewa SABA,unaujua full mziki,khaaaaHuyu kocha vipi, tuna aggregate ya 4-1 bado anapanga full mziki, wachezaji wachanga/wabenchi watacheza lini sasa.View attachment 2554094


mngekuwa na full mziki mngekojolewa SABA kwa sifuriBinafsi nilikuwa naona mtu kama fern rash degea case wangepumzishwa tu leoHuyu kocha vipi, tuna aggregate ya 4-1 bado anapanga full mziki, wachezaji wachanga/wabenchi watacheza lini sasa.View attachment 2554094
Huyu kocha vipi, tuna aggregate ya 4-1 bado anapanga full mziki, wachezaji wachanga/wabenchi watacheza lini sasa.View attachment 2554094
Mnavyojua kuwaremba sasa utafikiri sio WALIOKOJOZWA SABA *****Wasiwasi wangu mkubwa ni Casemiro kula manjano na akakosa game ijayo. Bora angempumzisha. Maguire angecheza na Lindelof halafu Martinez asogee DM hapo, ana sifa zote za kucheza 6. Anakaba vizuri na anasambaza mipira kwa usahihi.
Leo akiingiza majeruhi mapya anaanza kusingizia ArsenalHuyu kocha vipi, tuna aggregate ya 4-1 bado anapanga full mziki, wachezaji wachanga/wabenchi watacheza lini sasa.View attachment 2554094
Huyu kocha vipi, tuna aggregate ya 4-1 bado anapanga full mziki, wachezaji wachanga/wabenchi watacheza lini sasa.View attachment 2554094
Leo akiingiza majeruhi mapya anaanza kusingizia Arsenal
Huyu kocha wenu akili zake Kama zako,
Kila mechi kikosi hicho hicho kauka nikuvae
Sasa asubiri Europa tumbomoe ,EPL aanze kugombea kucheza Europa
tangu lini KOCHO likajua Mpira??Nna wasi wasi na ww mpira wa miguu huuepewi Football inamatokeo ya kikatili,,, hutakiwi kumdharau mpinzani….
Chukua notes hz ujifunze kitu
Uefa 2011/12 first leg Napoli Fc 3 vs 1 Chelsea
Second leg Chelsea 4 vs 1 Napoli
Uefa 2016/17 first leg PSG 4 vs 0 Barca
Second leg Barca 6 vs 1 PSG
Wewe mpaka sasa huelewi kama kocha wenu ana kikosi kimoja tu lakini maneno meengi..Huyu kocha vipi, tuna aggregate ya 4-1 bado anapanga full mziki, wachezaji wachanga/wabenchi watacheza lini sasa.View attachment 2554094