Mmh. Inakuwaje wanampa ban ya games nyingi hivyo? Nilifikiri red card inamkosesha mtu mechi 1-2?Casemiro atakosa four straight games. Niliwaambia huyu jamaa ni mzito hio ligi haiwezi anafanya late tackles sababu timing yake mbovu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Waulize Man City, bora sisi draw.Kenge nyie mnatoa Draw na Timu inayoburuza mkia,makima kweli nyie machoko
Hujajua mpira..wewe kaa kimya. Timu nzima mtu muhimu ndio huyo. Ile red ya mwanzo hakucheza mechi 3 tulichemsha sana sana.Casemiro atakosa four straight games. Niliwaambia huyu jamaa ni mzito hio ligi haiwezi anafanya late tackles sababu timing yake mbovu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
HuaminikiJamaa ni mzuri, mzuri sana. Haruhusu mabeki wale waanzishiane mpira pale nyuma anakaba sana. Ni mtu sana, anajua sana kukaba na kukimbia muda wote.
Straight red card iyoMmh. Inakuwaje wanampa ban ya games nyingi hivyo? Nilifikiri red card inamkosesha mtu mechi 1-2?
Tena hovyo kweli kweli, magoli yake mengi hayana skills yoyote, ni zali tuu, mishuti mishuti na omba Mungu. Hamna forward pale.Kijana wa hovyo sana
DaAah. Hopefully wapinzani wataitumia nafasi hii vizuri hata wasipowafunga basi watoe droo nao. Kwenye title race Sasa hivi hatutaki usumbufuStraight red card iyo
leo mbona ujatuma skrinishot zako za kinyumbuHujajua mpira..wewe kaa kimya. Timu nzima mtu muhimu ndio huyo. Ile red ya mwanzo hakucheza mechi 3 tulichemsha sana sana.
No Man u tusijifariji ujinga kwa form ya Southampton msimu huu hii mechi tumefell na mbele tutaikumbuka point tatu za bure leo tumeziacha
Leta screenshot za msimamo wa ligi ,kenge weweSure..sio vizuri kusahau mambo mazuri MalcolM XII View attachment 2547749
Halafu wanadanganyana Arsenal ana kikos finyu , manjesta ana kikos kipanaKikosi cha Europa hicho hicho kinawekwa kwenye ligi. Title contender ana kikosi kimoja tu
Huyu kocha mpaka next season mtakuwa mmeshaanza 7 HAG OUT
kwa matokeo ya leo, alaumiwe kocha kwa kupanga timu kijinga kabisa.
Hujajua mpira..wewe kaa kimya. Timu nzima mtu muhimu ndio huyo. Ile red ya mwanzo hakucheza mechi 3 tulichemsha sana sana.
Angalia form ya timu na rank sisi tunamapungufu sana ila media zinatubeba ile timu ni mbovu ingekuwa timu nyingine tungefungwaMpira umeujulia ukubwani au unaweza kupiga dana dana hata 100 kwa mguu mmoja…
Listen Mkuu tumecheza pungufu wachezaji 10 kwa dk 60… so km hauto show same respect basi tulia
Huyu kocha mpaka next season mtakuwa mmeshaanza 7 HAG OUT
Player ratings
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2547785