Wewe mbona unalalamika lalamika tuu kwenye nyuzi za watu? Kwanini unaumizwa na mafanikio ya utd, kwani we timu yako c inaongoza ligi? Hata icheze na Yanga lkn bado Man utd itabaki kuwa timu kubwa na Arsenal itabaki kuwa timu ndogo hata ikichukua ligi msimu huu