Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kipigo cha jana kinatosha kutufahamisha kuwa sisi mashabiki wa United hatupaswi kutembelea majukwaa ya timu zingine kuzicheka zinapofungwa ilihali sisi msimu huu ndiyo tuliopokea vipigo vizito vizito kuliko timu zote.

Hakuna timu nyingine epl iliyofungwa goli 17 katika mechi tatu tu.
Upo sahihi Sana aisee

Respect
 
Mna sajili team nzima?
Liva inahitaji wachezaji wanne tu
RB kumpa challenge Trent,hapo atakuja Benjamin Heirinch wa Leipzig
Nahitaji beki wa kati kijana kucheza na Konate baadae,hapo atakuja Gvadiol wa Leipzig
Nahitaji mido 2 za maana sana hapo anakuja Belligham wa Dortmond na James Ward Prowse wa Southampton

Nakupiga 9-0 Sept
 
C51CAB12-C5A9-448F-9F13-C112DC27F879.jpeg

🤣🤣🤣🤣🤣🤣Salamaaa?
 
Kuna a lot of stats zinaonyesha kabisa manyua Hana tofauti kiuchezaji na timu za mikiani

Ila form ya Rashford , harakati za Degea ndio zinawaweka mjini

Ndio maana kwa mpira wenu wa janja janja hamuwezi kuthubutu kusajili Sweeper GK , mtabaki na Degea tu

Most touches in the opposition box by a team in a single Premier League game this season:

Arsenal vs Bournemouth - 78
Arsenal vs Man Utd - 64
Man City vs Brentford - 62
Arsenal vs Nottingham Forest - 59
Man City vs Southampton - 56
 
Mpira wa janja janja hauna maisha marefu , Conte ameshatupa taulo msimu ujao anasepa Spurs

Mourinho alishakimbia

Kuanzia 2016 EPL imebadilika ,Kama huwezi kumiliki mpira unategemea janja janja Utaumbuka tu
 
View attachment 2539825
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Salamaaa?
Eti wanajikuta wako serious hawataki kupumzika😂😂

Sasa hata mkipanic eti msipumzike haibadilishi kitu, rungu 7 zimeingia.

Halafu huyu kocha wenu mwenye kichwa kama embe kauli zake za jeuri ndio zinamponza.. Pep Guardiola ana misimu mingi EPL kuliko yeye lakini anapaheshimu pale Anfield.

Yeye anaongea kwenye press km mlevi vile!
 
Wenye matumain na ten hag atawafikisha nchi ya ahad ,siwaelewi
Kama waarabu wakiinunua timu na wakampa hela ya kutosha kumfanya awe na wachezaji angalau wawili katika kila nafasi wa kiwango cha juu anaweza kufika mahala fulani... Ni kocha mzuri ila ila alilewa sifa baada ya performance nzuri katika mechi kadhaa na hasa baada ya kuchukua kikombe. Kuanzia sasa akili itamkaa sawa
 
Kama waarabu wakiinunua timu na wakampa hela ya kutosha kumfanya awe na wachezaji angalau wawili katika kila nafasi wa kiwango cha juu anaweza kufika mahala fulani... Ni kocha mzuri ila ila alilewa sifa baada ya performance nzuri katika mechi kadhaa na hasa baada ya kuchukua kikombe. Kuanzia sasa akili itamkaa sawa
Waarabu wapi na wewe.. lini umesikia Glazzers wanataka kuuza sehemu yao ya kupatia ugali.

Kwanza hawakutoa pesa yao mfukoni kuinunua. Club inajiendesha yenyewe kwa madeni. Jamaa hawatoi jasho.

Mwarabu pekee ataewamiliki ni Mo Salah😂😂
 
Kama waarabu wakiinunua timu na wakampa hela ya kutosha kumfanya awe na wachezaji angalau wawili katika kila nafasi wa kiwango cha juu anaweza kufika mahala fulani... Ni kocha mzuri ila ila alilewa sifa baada ya performance nzuri katika mechi kadhaa na hasa baada ya kuchukua kikombe. Kuanzia sasa akili itamkaa sawa
Grazzer wamekuwa wanatoa pesa ila watumiaji ndio wajinga , najiuliza hata akija huyo mwarabu kipi kipya ataleta ? Labda kuboresha miundombinu ,ila swala la pesa la usajili mnadanganyana tu ,takwimu zinasema Grazzer wametoa pesa inayokaribiana na ya matajiri wa mancity


Mfano dirisha kubwa huyo Ten hag kapewa €250m kachukua €100m kamnunua Anthony , yule malacia kamnunua lakini kafeli kuingia kikos Cha Kwanza

Kwahiyo Grazzer muwalaumu kwenye kutojenga miundombinu ila sio kwenye usajili
 
Waarabu wapi na wewe.. lini umesikia Glazzers wanataka kuuza sehemu yao ya kupatia ugali.

Kwanza hawakutoa pesa yao mfukoni kuinunua. Club inajiendesha yenyewe kwa madeni. Jamaa hawatoi jasho.

Mwarabu pekee ataewamiliki ni Mo Salah
"Kama"...
 
Grazzer wamekuwa wanatoa pesa ila watumiaji ndio wajinga , najiuliza hata akija huyo mwarabu kipi kipya ataleta ? Labda kuboresha miundombinu ,ila swala la pesa la usajili mnadanganyana tu ,takwimu zinasema Grazzer wametoa pesa inayokaribiana na ya matajiri wa mancity


Mfano dirisha kubwa huyo Ten hag kapewa €250m kachukua €100m kamnunua Anthony , yule malacia kamnunua lakini kafeli kuingia kikos Cha Kwanza

Kwahiyo Grazzer muwalaumu kwenye kutojenga miundombinu ila sio kwenye usajili
Huyo Anthony naye alichomzidi Daniel James waliomuacha NI kipi? Au Labda kuzunguka na mpira Tu
 
Huyo Anthony naye alichomzidi Daniel James waliomuacha NI kipi? Au Labda kuzunguka na mpira Tu
Huyo ETH kwenye usajili tu inatosha kuonesha Safari yake itakuwa ngumu

Umekuta timu ina kina Degea na baadhi wazuri bado unaongezewa €250m unaenda kuchezea €100m kwa yule Anthony
Kina Klopp hawajawahi kupata bahati ya kupewa €200m dirisha Moja
 
Sources close to #mufc have indicated there are reservations inside the United camp over whether Bruno Fernandes has the right attributes to take on the club's full-time captaincy role.

Instead of Bruno Fernandes, there is a feeling at #mufc that Raphaël Varane, David de Gea or Casemiro would be better suited to the role as club captain

Many at #mufc - players included - were irritated by Bruno Fernandes' behaviour on the pitch against Liverpool

[ChrisWheeler]
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Victor Osimhen: “I’m working so hard to make sure that I achieve my dream of playing in the Premier League one day” #transfers

“It’s a process and I just want to keep on this momentum, Serie A is in one of top five leagues in the world and it’s an amazing feeling for me”.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230306_233713_466.jpg
 
Back
Top Bottom