Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Arteta atawafikisha hiyo nchi ya ahadi ?Usimfananishe na Super Mikel na huyo ten hag
Ten hag hata kiumri kamzid Pep Guardiola ,ila nyie mnadhan ndio anaanza career yake sasa
Arteta atawafikisha hiyo nchi ya ahadi ?Usimfananishe na Super Mikel na huyo ten hag
Ten hag hata kiumri kamzid Pep Guardiola ,ila nyie mnadhan ndio anaanza career yake sasa
Mapema Sana ,anatufikisha tuna timu ya kusumbua miaka 6 mfululizo.Arteta atawafikisha hiyo nchi ya ahadi ?
Upo sahihi Sana aiseeKipigo cha jana kinatosha kutufahamisha kuwa sisi mashabiki wa United hatupaswi kutembelea majukwaa ya timu zingine kuzicheka zinapofungwa ilihali sisi msimu huu ndiyo tuliopokea vipigo vizito vizito kuliko timu zote.
Hakuna timu nyingine epl iliyofungwa goli 17 katika mechi tatu tu.
Mna sajili team nzima?
Liva inahitaji wachezaji wanne tu
RB kumpa challenge Trent,hapo atakuja Benjamin Heirinch wa Leipzig
Nahitaji beki wa kati kijana kucheza na Konate baadae,hapo atakuja Gvadiol wa Leipzig
Nahitaji mido 2 za maana sana hapo anakuja Belligham wa Dortmond na James Ward Prowse wa Southampton
Nakupiga 9-0 Sept





Most touches in the opposition box by a team in a single Premier League game this season:
Arsenal vs Bournemouth - 78
Arsenal vs Man Utd - 64
Man City vs Brentford - 62
Arsenal vs Nottingham Forest - 59
Man City vs Southampton - 56If my memory serves me well hajafunga goli kwenye ligi hadi sasa na Man UHivi Weghost ana goli ngapi kwenye ligi?
Nataka ni compare na stats zake za magoli 2 ndani ya mechi 20+ akiwa Burnley.
Ila Bruno Ana lots of unprofessionalism nashangaa sana how comes ni captain wa Manchester unitedTulia wewe man7View attachment 2539819
Hapo napo hakuna kocha, ni suala la muda tuArteta atawafikisha hiyo nchi ya ahadi ?
Eti wanajikuta wako serious hawataki kupumzika😂😂View attachment 2539825
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Salamaaa?
Kama waarabu wakiinunua timu na wakampa hela ya kutosha kumfanya awe na wachezaji angalau wawili katika kila nafasi wa kiwango cha juu anaweza kufika mahala fulani... Ni kocha mzuri ila ila alilewa sifa baada ya performance nzuri katika mechi kadhaa na hasa baada ya kuchukua kikombe. Kuanzia sasa akili itamkaa sawaWenye matumain na ten hag atawafikisha nchi ya ahad ,siwaelewi
Waarabu wapi na wewe.. lini umesikia Glazzers wanataka kuuza sehemu yao ya kupatia ugali.Kama waarabu wakiinunua timu na wakampa hela ya kutosha kumfanya awe na wachezaji angalau wawili katika kila nafasi wa kiwango cha juu anaweza kufika mahala fulani... Ni kocha mzuri ila ila alilewa sifa baada ya performance nzuri katika mechi kadhaa na hasa baada ya kuchukua kikombe. Kuanzia sasa akili itamkaa sawa
Grazzer wamekuwa wanatoa pesa ila watumiaji ndio wajinga , najiuliza hata akija huyo mwarabu kipi kipya ataleta ? Labda kuboresha miundombinu ,ila swala la pesa la usajili mnadanganyana tu ,takwimu zinasema Grazzer wametoa pesa inayokaribiana na ya matajiri wa mancityKama waarabu wakiinunua timu na wakampa hela ya kutosha kumfanya awe na wachezaji angalau wawili katika kila nafasi wa kiwango cha juu anaweza kufika mahala fulani... Ni kocha mzuri ila ila alilewa sifa baada ya performance nzuri katika mechi kadhaa na hasa baada ya kuchukua kikombe. Kuanzia sasa akili itamkaa sawa
"Kama"...Waarabu wapi na wewe.. lini umesikia Glazzers wanataka kuuza sehemu yao ya kupatia ugali.
Kwanza hawakutoa pesa yao mfukoni kuinunua. Club inajiendesha yenyewe kwa madeni. Jamaa hawatoi jasho.
Mwarabu pekee ataewamiliki ni Mo Salah![]()
Huyo Anthony naye alichomzidi Daniel James waliomuacha NI kipi? Au Labda kuzunguka na mpira TuGrazzer wamekuwa wanatoa pesa ila watumiaji ndio wajinga , najiuliza hata akija huyo mwarabu kipi kipya ataleta ? Labda kuboresha miundombinu ,ila swala la pesa la usajili mnadanganyana tu ,takwimu zinasema Grazzer wametoa pesa inayokaribiana na ya matajiri wa mancity
Mfano dirisha kubwa huyo Ten hag kapewa €250m kachukua €100m kamnunua Anthony , yule malacia kamnunua lakini kafeli kuingia kikos Cha Kwanza
Kwahiyo Grazzer muwalaumu kwenye kutojenga miundombinu ila sio kwenye usajili

Huyo ETH kwenye usajili tu inatosha kuonesha Safari yake itakuwa ngumuHuyo Anthony naye alichomzidi Daniel James waliomuacha NI kipi? Au Labda kuzunguka na mpira Tu![]()
Chuma cha tano mwanangu wa darasa la 3 kanitosa eti kahamia Real Madrid 😂😂😂 Hii mitoto ya dot com haina maana.Daah banda zima Liverpool nilikua peke yangu tu 😊😊,walipokua wanatukosa kosa wanashangilia
Mambo yalipogeuka nikashangaa naongea peke yangu 🤣🤣🤣






#transfers



