Sio ktk Mechi hii tu ambayo Rooney ame-escape straight red... Kuna mechi kama 3 hivi ambapo Roney badala ya kufuata mpira anakula miti. Na sio kama nam attack Rooney ni hawa marefa wa England wanapendeleana. Muingereza anaweza afanye faulo akapewa yellow wakati mgeni akapewa red. Nadhani hata faulo ya Walters ilistahili red ssema ndo hivyo nadhani ni Muingereza mwenzao