Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Labda ya kabatiGame itaisha Kwa draw
Labda ya kabatiGame itaisha Kwa draw



Kwahiyo una uliza ama una shauri?Long tym sana sijapita hapa. Nimepita tu kuja kuona na kusikiliza malalamiko yenu. Japo sina msaada nitakao toa.
Taarifa tu, mpo nyuma kwa goli 1.
EtH toa Weghorst weka Garnacho, Rashford kaa katikati.
Halafu Antony anatufelisha sana kwenye counter hatoi pasi mapema. Pia wakati tunashambulia Rashford hatakiwi kupewa pasi, Antony aliharibu shambulizi moja kwa kumpa pasi Rashy.
North-West Derby ukiwa Anfield siyo mechi ya kitoto, vijana wajikaze.
Huna akili.Man u huwa anabebwa na magoli ya offside tu.....hata ile 2-1 ilikuwa ni offside ya rashford ....Leo hakuna pa kutokea ....
Nmemaliza mechiKipindi cha 2 liva wanaongeza goli 1 mpira unaisha
Labda mama ak*Unaona ulivyo mjinga lakini? Hapa jf kuna mtu aliyemnunua Dalot?