Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunatakia tupate vijana wenye damu moto hapo latikati.

Sijui Madrid huwa wanafanya vipi kuwa na quality midfield misimu yote, wana jicho kali sana.
Madrid wali struggle sana baada ya kumuuza Makelele mpaka wakaja kumpata Kroos, Casemiro na sasa wana Tchoumeni, Camavinga nk hakika wana jicho kali sana.

Man U ifanye tabia ya kuchukua viungo pale Madrid. Maana hata Makelele alivyoondoka pale Chelsea ilikuwa bora sana.
 
Ten Hag ni mwalimu mzuri.
Kikosi ni almost kilekile Cha msimu uliopita,lakini ameweza kubadili na timu inafanya vizuri, kitu ambacho Makocha wetu akina Klopp wameshindwa.


Kwa kweli man u mnaupiga mwingi..
Vijana wakiendelea kupambana hivi mnaweza beba makombe yote.
 
wee jamaa wakikusikia wenyewe
 
Ikitokea Qatar wameichukua timu.

Kitu cha kwanza ni kufukuza recruitment department ya Man Utd.

Tutafute watu wanaojua kufanya maamuzi sahihi na kwa haraka.
Man united haina Recruiting department walishafukuzwa mbona, Eth ndio yupo responsible kwenye usajili plus Arnold na Murtough, kuna kipindi walimchukua kwa Muda kaka yake Will Keane naye pia ameshaondolewa.

Ingekua wapo kina Woodward na Timu yake Antony asingesajiliwa.
 
Kwa sasa fans tumeanza kujadili mipango ya usajili msimu ujao ila katika wote sijasikia mtu akiongelea nafasi ya goal keeper. Wakati msimu unaanza wengi tuliona De Gea ni tatizo kwa kuangalia falsafa za uanzishaji mashambulizi za EtH. Sasa tukubaliane moja,tunahitaji shot stopper (Dave) au ball playing Golie(tusajili)?
 
Fred sijui kaanza kupata confidence ya kucheza pembeni ya kaka yake Casemiro,anaupiga mwingi sana recently hadi tumesahau kama Sabitzer yuko benchi.

Anthony kaanza kuimarika kiwango hasa kwenye upande wa ushambuliaji,nahisi wale doubters wake watajua Erik hanaga kazi mbovu.

One down,Three to wrap up!
 
Mbona mambo yanakuwa slow sana sasa?

Inatakiwa dirisha likifunguliwa watu wanasajiliwa in a week then pre season inaanza.

Sio ile mtu anakuja na ligi ishaanza.
 
Sioni shida ya golikipa as of now.

Huyo huyo anaweza tengenezwa akawa jinsi kocha anataka awe.

Huwa naona goalkeeping ni sensitive area haihitaji majaribio na sio wa kubadilishwa hovyo.
 
Mbona mambo yanakuwa slow sana sasa?

Inatakiwa dirisha likifunguliwa watu wanasajiliwa in a week then pre season inaanza.

Sio ile mtu anakuja na ligi ishaanza.
Dirisha lote lililopita Carrington ndio ilikuwa head of recruitment, Kocha ndio alisema nani na nani aje, hapa ni mpaka timu iuzwe ndio waajiriwe watu wengine si rahisi kuajiriwa mtu katikati ya msimu.
 
Hata Klopp kwangu mimi bado ni bonge la kocha ila tatizo lake ana roho nzuri sana (He's a classic Mr. Nice guy). Inabidi ajifunze tabia ya kuwa na roho ngumu kidogo kama Pep Guardiola, baada ya misimu kadhaa ya kucheza top football ni lazima ufanye kupunguza baadhi ya wachezaji na kuleta wapya hasa hasa wale wenye umri mkubwa.
 
Kama ningekuwa Nina mamlaka pale unite Leo ningeandaa cheque nimsajili Bruno Guimarães - Kiungo matata kutoka Newcastle United.

Navutiwa Sana na uchezaji wake.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Real Madrid walijaribu kufanya-enquiry waliambiwa he's not for sale unless mnataka mpasue kibubu. NU wao walimnunua mwaka jana kwa £40M.
 
Hakuna dirisha ambalo sajili zake zimekuwa bora kama za huu msimu wa 2022/2023 toka Fergie aondoke OT.
Sajiri za kimkakati huwa zinakuwa na mafanikio sana. Ulimsikia Ten Hag alipokuwa anamzungumzia Lisandro jana? Jinsi alivyokuwa anamuongelea anakuambia nia aina ya wachezaji unaweza kumuamini kukufanyia kazi na anajitoa kwa 100% uwanjani bila kukuangusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…