Akitupia goli jingine anabeba kiatu cha ufungaji bora kwa sasa wakwanza analinga nae wote wana5 sema yeye yupo juu yake kwa sababu ya herufi za jin
Che Adam
Marcus Rashford
Huyu WERGHOST nadhani baada ya mechi analala amechoka sana. Kumbe anapangwa kimkakati sana haruhusu adui awe na mpira na ajipange kuanzisha mashambulizi au kutoa pasi ya maana, muda wote yuko mahali mpira ulipo. Anawapa shida sana wapinzani.