Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,031
- 40,064
Man utd mnashinda hii game kirahisi sana.

AsanteeMpaka dk hii ya 18 Newcastle wamemanage kutawala kiungo
Ajabu anayecheka ni Clown zaidi ya huyo wa 1969.Mmoja hana trophy kwa zaidi ya miaka 5 mwingine tangu mwaka 1969
Two clowns fighting
Kwenye swagger nakataa.Kila watu wana tabia kulingana na jamii watokayo. Kiujumla Waingereza ni watu wa swaga. Ndiyo maana hata ligi yao ni maarufu licha ya kutokuwa bora but are making big business out of it
Mwendo wa pasi ndefu tu.Mpaka dk hii ya 18 Newcastle wamemanage kutawala kiungo
Relax andika uelewekeAjabu anayecheka ni Clown zaidi ya huyo wa 1969.
Angalia vizuri, Wout ni mpambanaji sana anakimbia sana uwanjani. Nadhani ndio maana ETH anamuanzisha kila mechi. Wale wavivu kina Martial hawawezi mzikinwa hili lijamaa. Mwanzoni hata mimi nilimponda sana Wout.Huyu Wout na Aboubakar Vincent namchukua Vincent
Considering magpies wanavyojisahau hizo long balls might pay offMwendo wa pasi ndefu tu.
Ila hana positioning nzuri na hata runs zake ni zile zinafanya uone ana work rate kubwa ila hazikupi positive impact directAngalia vizuri, Wout ni mpambanaji sana anakimbia sana uwanjani. Nadhani ndio maana ETH anamuanzisha kila mechi. Wale wavivu kina Martial hawawezi mzikinwa hili lijamaa. Mwanzoni hata mimi nilimponda sana Wout.