Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kila watu wana tabia kulingana na jamii watokayo. Kiujumla Waingereza ni watu wa swaga. Ndiyo maana hata ligi yao ni maarufu licha ya kutokuwa bora but are making big business out of it
Kwenye swagger nakataa.

Ni wanafki wanaotaka kila mtu afuate utaratibu wao.

Wanaona wana haki ya kuwatoa kasoro wengine.
 
Man marking anayofanyiwa Maximin ni kubwa. 3 united players whenever he has the ball.

Same marking ilibidi iwe kwa Trippier, Almiron na Bruno Ila wameignore
 
Angalia vizuri, Wout ni mpambanaji sana anakimbia sana uwanjani. Nadhani ndio maana ETH anamuanzisha kila mechi. Wale wavivu kina Martial hawawezi mzikinwa hili lijamaa. Mwanzoni hata mimi nilimponda sana Wout.
Ila hana positioning nzuri na hata runs zake ni zile zinafanya uone ana work rate kubwa ila hazikupi positive impact direct
 
Back
Top Bottom