Ana PED au??kalia msumari huo kwa kutulia PIMBI weweDah...Bruno leo yuko vibaya sana
Matokeo vipi wewe kenge leta screenshotDah...Bruno leo yuko vibaya san
Ili iweje ? Ikiwa tu Grazzer pesa walizotumia miaka yote hazina tofauti na matajiri wa mancityMwarabu apewe timu
Ujinga wa kiwango cha SGRBruno kafanya kosa la kijinga sana
@Jackwillpower kenge mamaakoMatokeo vipi wewe kenge leta screenshot
Huu mtindo wa kurudisha mpira Kwa kipa unatugharimu sana

Dah...Bruno leo yuko vibaya sana
Yap..na BrunoWergost na sancho watoke
Nilitamani sana kumuona Sabitzer na Casemiro pale kati.
Pamoja na ujinga wa bruno, penalt nyepesi sana ile. Nilikuwa nasikiliza hapa commentator anashangaa refa anataka kufanya nini, alikuwa haamini kama inaweza kuwa penalt.Bruno kafanya kosa la kijinga sana