We fikiria tu diana aliuwawa kisa tu ataleta damu ya kiarabu kwenye utamaduni wao ndio sembuse huyu kupewa timuHata mimi naona kama watampiga chini ili kuendeleza utamaduni wa Kiingereza kwa kuhofia Mwarabu kuleta mambo mengi ndani ya klabu..Manchester United ibebeba utamaduni wa Kiingereza.
Liverpool ni uchafu kama mavi ya choo Cha stand ya MagufuliHivi ni liver imechoka au klopp kachoka
Shehe apewe timu tu
Jamani Kuna msiba huko anfield
Hawa Madrid wapewe kombe lao kabisa wasichoshwe na mamechi mengineJamani Kuna msiba huko anfield
Pointi kubwaHii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?
Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.
Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Kuna wakati wachezaji wazuri ndy wanaamua matokeo ya mechi.Hivi ni liver imechoka au klopp kachoka
Fergie na ten hag mgahawani
View attachment 2525723
Wote wamechoka,lakini Milner bado yuko bomba sana 😂😂😂Hivi ni liver imechoka au klopp kachoka
Huo ni unafiki ngoja wakusikie.Wote wamechoka,lakini Milner bado yuko bomba sana
tofauti kubwa. Wananunua team ambayo iko epl si league ya uarabuni. Team iko UK, na UK ndio policy maker, wao ni investor tu. Lazima wawnsane na sheria zilizop
A gap of capacityEtH on the wheelView attachment 2526343