Sheikh Hamad Al Than apewe timu hii, ni mtu sahihi sana kwanza ni kijana then die hard utd fan, kwa mujibu wake mwenyewe anasema alianza kuishabikia utd akiwa na 10 years old ilikua mwaka 1992 baada ya ile “class of 92”
Kikubwa zaidi ainunui kwa mkopo kama kina glazers walichotufanyia mabwege hawa, yeye ni mzee wa cash arab money, kaweka wazi atainvest in and out of pitch na atarudisha glory days
Kikubwa zaidi haters wafahamu huyu ana mzigo kuwazidi maboss wa man city
Ten Hag on Rashford contract expiring in 2024: “Rashford’s new deal is a priority. We are working on it, in the background we're working hard. We have to keep Marcus, of course".
“First day we met, I told him: I want to see your smile!”.