Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,319
- 5,074
Hamna kitu kama hicho..Interview tu ya Ronaldo haiwezi kusababisha Glazzers wauze timu.
Mwaka juzi mashabiki waligoma hadi game yetu vs Liverpool ikahairishwa...Glazzers out ni kampeni ya muda mrefu.
Hii staili nahisi kama kupinga uonevu au ubaguzi dhidi ya watu weusi maana moana ndio wanatumia sana siku hizi kuanzia Welbeck ,Saka , Rashford na Tchoumeni WC22..Na kuna mmoja hapo kazaliwa karne iliyopitaView attachment 2521961
Duuh, mpka umeamua, kupotea kwa makusudiDuuuh Simba yangu
Nimelegea miguu yoteDuuh, mpka umeamua, kupotea kwa makusudi
Jogoo walipata Mtu wa kumtupia Lawama Ile fainali ila bila boko za jamaa kipigo kilikuwa un-kwepable.
Interview ya Ronaldo imechochea yeye kutimuliwa na sio kuwaondoa Glazers.Ni Kweli Watu Toka Kitambo Walikuwa Wakiwalalamikia, Lkn Interview Ya Ronaldo Nayo Imechochea Zaidi Hili Jambo Kutokea Leo.
Hapa sijaelewa, so ni mchezaji wa NC united ila tukichukua Kombe anavaa medali, how?? Na kama Wao Newcastle wakichukua bado atavaa medali??Nick Pope kala umeme huko.
Good news kuelekea fainali. Dubraka sina uhakika kama ataweza kucheza maana alichezea United hata tukibeba kombe atachukua medali kama mchezaji wa United.
Tushindwe sisi tu.
Umenena vema mkuu ila tatizo la fred ni muendelezo tu. Wiki hii amesifiwa kwa kiwango bora ila hutarajii kuona kiwango kama hicho mechi ijayo.Fred, case, de gea,,, walifanya majukumu yao vyema Sana
Uingize mashabiki hata 90,000Wajenge uwanja mpya..
Wakati mashindano ya Carabao Cup yanaanza msimu huu alikuwa mchezaji wa Man United kwahiyo jina lake likasajiliwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Carabao Cup kama mchezaji wa United, pia alicheza mechi mbili.Hapa sijaelewa, so ni mchezaji wa NC united ila tukichukua Kombe anavaa medali, how?? Na kama Wao Newcastle wakichukua bado atavaa medali??
Malengo ya muarabu uingize fans laki mojaUingize mashabiki hata 90,000
Wenzetu hayo Malengo ya watu laki moja, mmeyatoa wapi.??Malengo ya muarabu uingize fans laki moja
Dah, changamoto. Imagine Newcastle wamelose afu jamaa anaingia na medaliWakati mashindano ya Carabao Cup yanaanza msimu huu alikuwa mchezaji wa Man United kwahiyo jina lake likasajiliwa kwenye kikosi kitakachoshiriki Carabao Cup kama mchezaji wa United, pia alicheza mechi mbili.
Newcastle wakishinda hatapata medali ya mshindi kwasababu jina lake halipo kwenye kikosi cha Newcastle kilichosajiliwa kwenye Carabao Cup.