James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 2,101
- 3,866
Sir Jimmy ni shabiki wa United, na mwenye pesa zake ... zaidi ya Glazers, ila kwa mahitaji ya United pesa yake ni ndogoWazee kati ya sir jimmy na hawa qatar nani anatufaa zaidi
Mashekhe uchwarwa wa huku wanasema mpira ni dhambi na ni ufreemason😣😣😣😣😣Sir Jimmy ni shabiki wa United, na mwenye pesa zake ... zaidi ya Glazers, ila kwa mahitaji ya United pesa yake ni ndogo
Pia huyu Sir Ratcliffe anamiliki timu ya Nice ya Ufaransa, na hajaifanyia makubwa kiviiiile
Quatar wana pesa na wapo tayari kumwaga pesa. Hawa matajiri wana ukwasi kuliko hata matajiri wa Man City
Huyu tajiri aliyeweka bid ya kuinunua United (Sheikh Al Thani) ni shabiki lia lia wa United
Sasa unaweza kuchagua anayetufaa zaidi
Huyu msanii ni season ticket holder wa Chelsea.BREAKING: Jim Ratcliffe submits bid for Manchester United via Ineos. Billionaire born locally to the club aiming to "put the Manchester back into Manchester United", according to sources close to the bid. The offer is for full takeover.
Sources close to the Ratcliffe bid also say that any money borrowed to fund the takeover of Manchester United will be borne by the INEOS group, rather than the club, meaning no fresh debt will be added the #mufc balance sheet.
View attachment 2521084
Sir Jimmy ni shabiki na seasonal ticket holder wa Chelsea.Sir Jimmy ni shabiki wa United, na mwenye pesa zake ... zaidi ya Glazers, ila kwa mahitaji ya United pesa yake ni ndogo
Pia huyu Sir Ratcliffe anamiliki timu ya Nice ya Ufaransa, na hajaifanyia makubwa kiviiiile
Quatar wana pesa na wapo tayari kumwaga pesa. Hawa matajiri wana ukwasi kuliko hata matajiri wa Man City
Huyu tajiri aliyeweka bid ya kuinunua United (Sheikh Al Thani) ni shabiki lia lia wa United
Sasa unaweza kuchagua anayetufaa zaidi
Mashekhe uchwarwa wa huku wanasema mpira ni dhambi na ni ufreemason
Ni kweli Sir Jimy alitaka kuinunua Chelsea, ila ni shabiki wa United ... mengine ni siasa za kuchafuana katika vita ya kutafuta umiliki wa UnitedSir Jimmy ni shabiki na seasonal ticket holder wa Chelsea.
Anainunua United kwa mkopo which is equal to Glazers.
Details za bid ya Qatar ni Jaw dropping good. Naachaje kukataa deal nono kama hilo umpe huyo msanii Ratcliffe?
Wazungu wabahili wabahili sn, hiyo timu ili iwe tishio duniani ichukuliwe na waarabu, hawana pesa za mawazo.Wazee kati ya sir jimmy na hawa qatar nani anatufaa zaidi
Kwa mimi Naona OT ifanyiwe Rebuilding.. option C..
Hapo utapendekeza option gani za kuiboresha OT
Sheikh katika uzi
Wajenge uwanja mpya..
Hapo utapendekeza option gani za kuiboresha OT