The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Mechi mbovu sana ya leo, ilikuwa na makosa mengi mnoo ya kiufundi, wachezaji hawakuwa na umakini, wachezaji wa pande zote mbili. Yani mechi za NBC ni nzuri kuliko mechi ya leo.Gemu kama ya leo piga nikupigie mara ya mwisho kuiona ilikuwa Fainali mwaka jana Qatar France Vs Argentina ..
Sio leo tu..ni siku zote, mpambanaji haswaIla Fred leo yupo fire wazee
Nilikuwa namkubali sana wakati ule anaanza, baadaye nikagundua ni miyeyusho.Una chuki na Rashford.
Unampaje pasi mtu hana control ya mpiraKaribu timu nzima W.Ghost hata akae position nzuri hawampi pasi .
Wachezaji wetu walichoka sana. Wamecheza mfululizo. Tulitakiwa dakika ya 75 tufanye sub ya watu kama watatu lakini benchi halina mtu. Dakika 90 tumefanya sub moja.Gemu ilikuwa ya moto mpaka unakosa muda wa kuja kuchangia jukwaani..
Fatigue. Toka ligi imeanza anacheza yeye tu mechi zote.Tatizo la Rashford ni akishapata goli moja huwa ana relax ataka kujituma kabisa. Anatakiwa kujituma muda wote.
EvidenceAngalia akipewa mpira hawez kuhold anapokonywa kiurahisi..
Urefu wake tulitegemeq mipira ya juu atakua ana win vzur lkn ndo kwanza anaikosa imagine anashindwa mpk na gavi kwmy kuwin aerial ball..
Ighalo alkua vizur sn kuliko huyu weghost
Na ile penalt alinyimwaMpeni sifa zake tuu jamaa anapambana ila kafunga goli gumu kwel
Hili la ushirikiano mdogo hebu liache, ni mentality za kiafrika. Kama ulicheza mpira utaelewa huwezi kuacha kumpa mtu pasi eti kwa kuwa unamchukia. Ukiwa kwenye pressure ukiona jezi yoyote nyeupe iko kwenye position nzuri unatoa pass haraka bila hata kujua ni nani. Hajui kuji-position hajui akae wapi akiona mashambulizi yanaenda kwa adui. Kingine kinam-cost anarudi sana nyuma kukaba 'sio mvivu kama martial' kwa hiyo counter attack ikitokea anakuwa hawezi tena kuiwahi.Jamaa hata anasaidia kukaba hata hivyo mimi nina natumaini makubwa pale bado hatujapigwa hata kidogo ila ushirikiano mdogo anapata uwanjani.
SureAngalia akipewa mpira hawez kuhold anapokonywa kiurahisi..
Urefu wake tulitegemeq mipira ya juu atakua ana win vzur lkn ndo kwanza anaikosa imagine anashindwa mpk na gavi kwmy kuwin aerial ball..
Ighalo alkua vizur sn kuliko huyu weghost
Jana tumewatesa sana arsenane kwenye uzi waoUzi umetulia walikuwa wanatamani angalau tungepigwaa japo mechi ingekuwa haijamalizika nauhakika wangekuja kushambulia kupoza mchungu maana uzi huu mda haujavamiwa kwa mashambukizi makali kama ya jana Arsenal..
Hivi wewe unaujua kweli mpira? soccer? Uliwahi kucheza?Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.
Nimekuuliza unajua mpira kweli wewe?Mechi mbovu sana ya leo, ilikuwa na makosa mengi mnoo ya kiufundi, wachezaji hawakuwa na umakini, wachezaji wa pande zote mbili. Yani mechi za NBC ni nzuri kuliko mechi ya leo.
Maajabu,Hamna kitu mule, kuna mwana yeye ni Liverpool tangu wakati rashford anaingia ingia kwenye kikosi mm nilikuwa namkubali sana ila jamaa akawa ananiambia hamna kitu mule nikawa nambishia, kwasasa nakubaliana naye 100% na ndiyo maana hata national team anaingia kibahati bahati tu Southgate keshamstukia.
Huyo ni Shabiki wa Barcelona na Man U.Nimekuuliza unajua mpira kweli wewe?