Uzuri mwingine pia Fred ni mzima wa afyaWachezaji wetu ambao watakosa game dhidi ya Barcelona.
Antonio martial injury
Antony do Santos injury
Lisandro Martinez yellow card
Marcel sabitzer yellow card
Christian ericksen injury
Scott McTominay injury
Uzuri ni kwamba casemiro ni mzima wa afya.
Sawa tumseme kwa game hiyo aliyozingua. Garnacho ana mguu mzuri wa mpira na ana confidence ya hatari huyu akizingua tumseme lakini next match aendelee kuwepo.Mchezaji akizungua game fulani ni lazima tuseme waziwazi..
Ndani ya dakika 20 ilitakiwa tuwe tumeshashinda hii game kama kungekuwa na mikakati sahihi kuhusu kikosi. Jinsi Leeds alivyotupeleka kipindi cha kwanza wapinzani wetu (hasa Barca) wanaangalia mechi na wanapata confidence kubwa sana.Kwa hiyo Sub alifanya nani na kupanga Weghorst akae nyuma ya Rashford 2nd half alikuwa nani, kocha lazima atajwe ni moja ya mbinu zake
Yule kocha alifanya technical changes wkt flani. Alimtaka Tyler Malasia aingie katikati kutokea nyuma kisaidiaa kiungo, yule tall akarudi nyuma kidogo rashford akapanda juu kulia, then akamtoa Tyler malasia akabadili mfumo .Mweupe mama yako. Yaani huo ushindi wa mwishoni baada ya sub tulizozililia ndio unamuona kocha wa maana! ze-dudu
Ila Martial mlaini sana aiseeUzuri mwingine pia Fred ni mzima wa afya
Kazi ipo asee dah fixtures ngumu majeruhi wengi asee hata tukiharibu kadhaa sitawalaumu wachezaji wetu mpaka sasa wamepambana sana pamoja na ratiba ngumu.Hii hatari angalau tukishinda 3 out of 4 itakuwa vema zaidi.View attachment 2515865
Mkuu soma tena hii commentCasemiro hatakuwepo mzee card yake ina fanya kazi kwenye mashindano ndani ya England tu.
Anakimbia kama roboti 😅😅Akiwa anakimbia ananifurahisha kweli
Kama yule jamaa wa temple run 😆
Wachezaji wetu ambao watakosa game dhidi ya Barcelona.
Antonio martial injury
Antony do Santos injury
Lisandro Martinez yellow card
Marcel sabitzer yellow card
Christian ericksen injury
Scott McTominay injury
Uzuri ni kwamba casemiro ni mzima wa afya.
Unyumbu, hesabu nyingi sana,, kama mko serious vile ila wakat wenu unakuja,Arsenal atapoteza mechi zote na Man City.
Komaa na timu yako mkuu 😅Hili litimu likishinda napata hasira kweli kweli nalichukia sana
Nimeshaweka Mambo Sawa mkuu Mambo ya kupaste keyboard kila inachokuletea pale juu.Mkuu soma tena hii comment
Unafikiri Weghorst asingekuwepo sasa hivi angekuwa anaanza nani kule mbele ?Mchezaji mpiganaji ndio tunamuhitaji.
Japo sijui kwann kocha anamuhitaji