Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,477
Yani bahati yetu Sancho arudi vizuri, ndo mtu pekee ambaye Angalau anaweza kaa mbele incase Bruno anapewa role ya Eriksen, Sancho ana creativity.Yaani badala kuumia akina Scott/Fred tulete mbadala wao anaumia brain ya timu.
Kweli shetani yupo kazini dhidi yetu.
Yani bahati yetu Sancho arudi vizuri, ndo mtu pekee ambaye Angalau anaweza kaa mbele incase Bruno anapewa role ya Eriksen, Sancho ana creativity.
Hahahaa sijawahi kumuona mtu mwenye kipara asiye na akili.Upara myu makini sana yaani hana pupa ya kusajili kabsaa ni sajili 1-2 tu ila zinaleta balaa sana kwenye kikosi
S/O nyingi sana kwa ETH
Usihofu kuhusu hilo huyu ngoja tuzime naye moto kwa sasa.Done Deal here we go lakini kwa makubaliano ya mkopo na jamaa wajaweka kipengele cha kuuzwa moja kwa moja kwaiyo hata jamaa ang'ae vipi lazima haludi Bayern tu.View attachment 2501883
Uli-cross kichwani kwangu baada ya kuona jina Sabitzer nakumbuka ulitaja sana jina lake kipindi cha nyuma. Dominik Szoboszlai ni ndoto yangu kumuona siku moja akivaa uzi wa United ana akili nyingi sana uwanjani.Ilikuwa August 31 2021 wakati huo Sabitzer wa moto kweli ameenda Bayern lakini amekosa gametime.
Hata kwenye michuano ya Euro hakuwa kwenye ubora huo na world cup qualifiers hakuwa na ubora huo wa zamani.
Hahaha sio vizuri kuombea mabaya wachezaji wetu bhana kasoro Harry Maguire.Yaani badala kuumia akina Scott/Fred tulete mbadala wao anaumia brain ya timu.
Kweli shetani yupo kazini dhidi yetu.
Upo sawa kweli, jibu lako ni tafsiri ya utu wako, unasafari ndefu kuufikia utu wako wenye hekima.Punguza ujuha na ushangingi si nimesema case closed mlikuwa na performance nzuri kama unavyotaka kujiaminisha au unataka nn?
Good signingDone Deal here we go lakini kwa makubaliano ya mkopo na jamaa wajaweka kipengele cha kuuzwa moja kwa moja kwaiyo hata jamaa ang'ae vipi lazima haludi Bayern tu.View attachment 2501883
nyie hamna maana hata kidogo, mmewapelekea Arsenyani fitna ya Jojinah, sasa hivi huko kwenye jukwaa lao moto unawaka, ni mwendo wa kutukanana wenyewe kwa wenyewe yaani ni hatari mno.
Flano umenichekesha Sana, halafu ukiona natukanwa unaongezea petrol ,huna maana kabisa wewenyie hamna maana hata kidogo, mmewapelekea Arsenyani fitna ya Jojinah, sasa hivi huko kwenye jukwaa lao moto unawaka, ni mwendo wa kutukanana wenyewe kwa wenyewe yaani ni hatari mno.
Kuna vitu vingi Sabitzer ataviongeza kwenye kikosi chetu.Ujio wa huyu jamaa utaongeza nini cha kutuweka top4? It seems umemfatlia sana.I wish to know more atafit vp kwenye kikosi chetu hususani kipindi hiki tunachohitaji matokeo tu?
Dominick kila msimu anaongezeka ubora kuna siku Bayern watamchukua tuUli-cross kichwani kwangu baada ya kuona jina Sabitzer nakumbuka ulitaja sana jina lake kipindi cha nyuma. Dominik Szoboszlai ni ndoto yangu kumuona siku moja akivaa uzi wa United ana akili nyingi sana uwanjani.
Ikiwa kweli tutanenepa.Sabitzer to UNITED!
Fred aumie??..like serious??Yaani badala kuumia akina Scott/Fred tulete mbadala wao anaumia brain ya timu.
Kweli shetani yupo kazini dhidi yetu.