kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,143
- 15,758
Wa-force kwa Sabitzer tu muda ni mchache sana.Huyu marcel sabitzer (spelling Sina hakika) anaehusishwa kujiunga na sisi anaweza kuwa potential mpaka mwisho wa msimu !!!! Hakuna Namna maji shingoni, Bayern wanaweza kutukazia !
Xavi akimpata amrabat anaweza kutuachia Kessie mpaka mwisho wa msimu !
Dili la enzo to Chelsea limebuma, jamaa wanataka cash sio installment!Wa-force kwa Sabitzer tu muda ni mchache sana.
Sikufikiria kama majeraha ya Eriksen ni makubwa kiasi kile, endapo Marcel Sarbitzer hatutaweza kumpata ndani ya masaa machache yajayo ni wakati wa yule dogo Zidane Iqbal kuaminiwa tu.Tufanye jambo aisee..
Hapo middle of the park tutapoteana na hivi tuna mechi nyingi.
Yani huyo Kassie unaona ni mchezaji takataka kabisa huyo.Huyu marcel sabitzer (spelling Sina hakika) anaehusishwa kujiunga na sisi anaweza kuwa potential mpaka mwisho wa msimu !!!! Hakuna Namna maji shingoni, Bayern wanaweza kutukazia !
Xavi akimpata amrabat anaweza kutuachia Kessie mpaka mwisho wa msimu !
Sure tukishindwana na Bayern itabidi dogo Zidane aaminiwe,, hatuna Namna !!!Sikufikiria kama majeraha ya Eriksen ni makubwa kiasi kile, endapo Marcel Sarbitzer hatutaweza kumpata ndani ya masaa machache yajayo ni wakati wa yule dogo Zidane Iqbal kuaminiwa tu.
Vipindi kama hivi ndio hutengeza wachezaji wazuri sana. Hasa hasa ukiweka imani kwa mchezaji. Nakumbuka Spurs ikiwa ya moto sana mwaka 2009/2010 chini Harry Redknapp kaki kati ya msimu mwezi wa kwanza 2010 aliumia beki wake wa kushoto alikuwa anaitwa Benoit Assou Eketto ndipo Gareth Bale alipopata nafasi baada ya Benoit kurudi Redknapp akamsogeza juu Bale kama winga. Spurs walijaribu kuingia sokoni dakika za mwisho kuziba pengo la Benoit ila Bale akamlipa Redknapp kwa imani aliyompa.
Bora something kuliko nothing mkuu, wacha tuone !Yani huyo Kassie unaona ni mchezaji takataka kabisa huyo.
Kuna Yule bwana mdogo WA Morocco kasajiliwa ndio ingebidi aje United sio hizi rejected trash
Huyu jamaa ni mashine haswa kama tukimpata atatusave sanaView attachment 2501429
Hope hiyo deal inaweza fanikiwa.
Wapo Serious..Jorginho to Asernal.
You can tell: Asernal wapo serious na EPL
Ishu ni hela brother....Wapo Serious..
Sisi tunachelewaga sana kufanya maongezo kikosini..yaani ni hali hali iwe tete.
Vp man u amna shida na enzoDili la enzo to Chelsea limebuma, jamaa wanataka cash sio installment!
Chelsea nao wanamtaka sabitzer ! Wacha tuone
Yule tajiri wa Chelsea yupo smart sana, alifanya season simulation kwa kutumia technical data against big 6 teams baada ya kununua timu akagundua hawana nafasi ya kumaliza ndani ya top 4. Sasa hivi anachokifanya anajiwahi kabla msimu haujaisha anajua fika wachezaji wengi anawasajili sasa hivi haitakuwa rahisi kuwapata majira ya kiangazi bila champions league at their disposal.Sure tukishindwana na Bayern itabidi dogo Zidane aaminiwe,, hatuna Namna !!!
Chelsea wanataka kutia mchanga kitumbua ,,,
Chiesa kama atakuwa consistent na akatoka serie A huenda akabeba Ballon d or kadhaa kwenye career yake.Broo kumbe unamjua, jamaa nasikia ni among ya top target za ETH
Sijaongelea tu msimu huu.Ishu ni hela brother....
Kuna makala aliandika james ducker nikiipata nitaiweka, inazungumzia hali ya kifedha ya united na jinsi itakavyoleta athari katika soko la usajili ukijumlisha na sheria za UEFA
Kwa hela walionayo wangelijaribu bahati yao kwa caicedo.Flano Omben Chelsea wakamilishe dili la Enzo, wakishindwa watakuja kuvuruga dili lenu dakika za mwisho