D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,646
- 121,057
Ishu ni hela brother....Wapo Serious..
Sisi tunachelewaga sana kufanya maongezo kikosini..yaani ni hali hali iwe tete.
Vp man u amna shida na enzoDili la enzo to Chelsea limebuma, jamaa wanataka cash sio installment!
Chelsea nao wanamtaka sabitzer ! Wacha tuone
Yule tajiri wa Chelsea yupo smart sana, alifanya season simulation kwa kutumia technical data against big 6 teams baada ya kununua timu akagundua hawana nafasi ya kumaliza ndani ya top 4. Sasa hivi anachokifanya anajiwahi kabla msimu haujaisha anajua fika wachezaji wengi anawasajili sasa hivi haitakuwa rahisi kuwapata majira ya kiangazi bila champions league at their disposal.Sure tukishindwana na Bayern itabidi dogo Zidane aaminiwe,, hatuna Namna !!!
Chelsea wanataka kutia mchanga kitumbua ,,,
Chiesa kama atakuwa consistent na akatoka serie A huenda akabeba Ballon d or kadhaa kwenye career yake.Broo kumbe unamjua, jamaa nasikia ni among ya top target za ETH
Sijaongelea tu msimu huu.Ishu ni hela brother....
Kuna makala aliandika james ducker nikiipata nitaiweka, inazungumzia hali ya kifedha ya united na jinsi itakavyoleta athari katika soko la usajili ukijumlisha na sheria za UEFA
Kwa hela walionayo wangelijaribu bahati yao kwa caicedo.Flano Omben Chelsea wakamilishe dili la Enzo, wakishindwa watakuja kuvuruga dili lenu dakika za mwisho
Tayari confirmed HAUZWIKwa hela walionayo wangelijaribu bahati yao kwa caicedo.
Acha kuleta upuuzi humu.MILIONI KWA SIKU UHAKIKA KWENYE CASINO UKICHEZA HIVI.
JINSI YA KUCHEZA..
Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin
Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.
Deal na option moja tu! Kama ni tail au head.
head ni 50% alaf tail ni 50% hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa .
Hivyo kama utaweka HEAD yaani
HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne
Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja
UNAPIGA VIPI PESA
Round ya kwanza
chagua HEAD
Ukikosa
=>hasara ni buku mbili (-2000)
Raundi ya pili
HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani (4000)
umekosa tena...
=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)
Mara ya tatu tena HEAD kawaida double weka 8000
Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000
Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000
Unatoa 32000
Ukitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000
Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku
Casino ninayo tumia www.jupitacasino.site
Kazi kwako ..
Acha ujingaMILIONI KWA SIKU UHAKIKA KWENYE CASINO UKICHEZA HIVI.
JINSI YA KUCHEZA..
Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin
Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.
Deal na option moja tu! Kama ni tail au head.
head ni 50% alaf tail ni 50% hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa .
Hivyo kama utaweka HEAD yaani
HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne
Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja
UNAPIGA VIPI PESA
Round ya kwanza
chagua HEAD
Ukikosa
=>hasara ni buku mbili (-2000)
Raundi ya pili
HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani (4000)
umekosa tena...
=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)
Mara ya tatu tena HEAD kawaida double weka 8000
Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000
Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000
Unatoa 32000
Ukitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000
Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku
Casino ninayo tumia www.jupitacasino.site
Kazi kwako ..
Naamini, yuko serious na mpira...Chiesa kama atakuwa consistent na akatoka serie A huenda akabeba Ballon d or kadhaa kwenye career yake
Sio replacement ya Eriksen mkuu, hawezi cheza ile role, ni kama Fred uchezaji wake, hard working midfielder.Naona ili deal uhakika kutimia asilimia 80 limetimia vipi mkuu Chief-Mkwawa jamaa yupo vizuri kweli.View attachment 2501759