Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,750
- 5,643
Timu imecheza vibaya sana kipindi Cha pilidah! Point 3 huenda tukazikosa. Kipindi cha pili makosa yamekuwa mengi na washambuliaji wamekuwa butu mno.
Sio Rashidi peke yake hata 10 hag amechangia kwa kiasi kikubwa kukosa hizo points 3, baada tu ya Casemero kulimwa kadi ya njano wachezaji pamoja na mashabiki wote tulikua kama vile tumepigwa shoti, morali ikawa imepungua mpaka kupelekea palace kusawazisha.Sema rashford ndo katunyima point 3
RASHFORD & ANTONY Qmlmm Zao
Wametunyimisha point 3 muhim kisa ulaku wao wa magoli
JichawiNatabiri mtatoa droooo
[emoji23][emoji23][emoji23]Casemiro hatakiwi kupigwa yellow card,maake ataikosa game ya arsenal..
Nadhan aingie tomminay now
Kwani si amefunga back to back, leo vipi kijana wetu wa balon d'OrRashford kwa chance tatu alizopata katucost point tatu kabisa
Anthony yupi tena? Elanga au yule wa 360 spin? [emoji23]RASHFORD & ANTONY Qmlmm Zao
Wametunyimisha point 3 muhim kisa ulaku wao wa magoli
Wan bissaka naona kabadilika bench limemchangamsha anakaa na mpira
Toba!!! Uliona wapi Saka akikabwa na mtu mmoja?Jamaa anaupiga mwingi huyu akabidhiwe saka atamdhibiti vizuri tu
Bissaka anaweza kufanya Kazi kubwa ila kwenye kufanya maaamuzi ya mwisho iwe cross ,shuti au pasi sahihi lazima ayumbe hilo karibia kila mechi ndio maana hana rekodi nzuri za assist kama Mabeki wenzake..Pamoja na kutuokoa leo alikua anapoteza mipira kifala sana, Rashidi nae leo sijui alikula maharage ya wapi?
Ten Hag kwa uzembe wake wa kuchelewa kumtoa Casemero amewarahisishia Arsenal game ya jumapili.
Mechi ya leo imeniuma sana kwa kweli ni bora ningelala zangu tu nikapata matokeo kesho asubuhi.
Huyo jamaa ana mizaha sana.Toba!!! Uliona wapi Saka akikabwa na mtu mmoja?