Pamoja na kutuokoa leo alikua anapoteza mipira kifala sana, Rashidi nae leo sijui alikula maharage ya wapi?AWB ametuokoa tupate point 1.
jamaa mchoyo sanaPamoja na kutuokoa leo alikua anapoteza mipira kifala sana, Rashidi nae leo sijui alikula maharage ya wapi?
Ten Hag kwa uzembe wake wa kuchelewa kumtoa Casemero amewarahisishia Arsenal game ya jumapili.
Mechi ya leo imeniuma sana kwa kweli ni bora ningelala zangu tu nikapata matokeo kesho asubuhi.
Cry more...!Pamoja na kutuokoa leo alikua anapoteza mipira kifala sana, Rashidi nae leo sijui alikula maharage ya wapi?
Ten Hag kwa uzembe wake wa kuchelewa kumtoa Casemero amewarahisishia Arsenal game ya jumapili.
Mechi ya leo imeniuma sana kwa kweli ni bora ningelala zangu tu nikapata matokeo kesho asubuhi.
Sema rashford ndo katunyima point 3Rash antony wametuangusha sana leo
wanaregezaga nati uwaite wapige helaDStv ikinyesha mvua kidogo tu "NO SIGNAL" nashindwa kuona soka la vijana wa EtH ipasavyo.
#GGMU
Pamoja na form aliyonayo huyu Rashford sijawahi kumkubali namwona hawezi ku-mature zaidi ya hapo esp kwenye team work.Sema rashford ndo katunyima point 3
Leo kacheza ovyo sana LeoDah Rashford ugonjwa wake umesharudi tena
Timu imecheza vibaya sana kipindi Cha pilidah! Point 3 huenda tukazikosa. Kipindi cha pili makosa yamekuwa mengi na washambuliaji wamekuwa butu mno.
Sio Rashidi peke yake hata 10 hag amechangia kwa kiasi kikubwa kukosa hizo points 3, baada tu ya Casemero kulimwa kadi ya njano wachezaji pamoja na mashabiki wote tulikua kama vile tumepigwa shoti, morali ikawa imepungua mpaka kupelekea palace kusawazisha.Sema rashford ndo katunyima point 3
RASHFORD & ANTONY Qmlmm Zao
Wametunyimisha point 3 muhim kisa ulaku wao wa magoli
JichawiNatabiri mtatoa droooo
Casemiro hatakiwi kupigwa yellow card,maake ataikosa game ya arsenal..
Nadhan aingie tomminay now
Kwani si amefunga back to back, leo vipi kijana wetu wa balon d'OrRashford kwa chance tatu alizopata katucost point tatu kabisa
Anthony yupi tena? Elanga au yule wa 360 spin?RASHFORD & ANTONY Qmlmm Zao
Wametunyimisha point 3 muhim kisa ulaku wao wa magoli
Wan bissaka naona kabadilika bench limemchangamsha anakaa na mpira