Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu hapo siwezi kukuelewa kirahisi, uwezo wa Chicharito, Rafaeli na Van Persi unaeleweka pale united. Swala la kutofanya vizuri huko walikoenda hii kwangu sio hoja.

Yule mzee pamoja na kufanya vizuri huko kwingine ila utd alifail kama hao wakina Rafael walivyofail huko kwingine. Unasema kocha hakupewa anachotaka? Wewe ulitaka apewe nini wakati alimnunua Di maria na Falcao wakiwa onfire akashindwa watumia. Yaani mimi yule mzee hapana kwa kweli nilipitia kipindi kigumu sana wakati wake.
 
Hii sijaielewa. Najua tuna kanuni zetu za ushindi. Lkn hii ya asernal kuji assure wattatupiga point tatu sijaipata vema, Wana uwezo Gani maana mm hata mechi zao siangaliagi.
 
Hii sijaielewa. Najua tuna kanuni zetu za ushindi. Lkn hii ya asernal kuji assure wattatupiga point tatu sijaipata vema, Wana uwezo Gani maana mm hata mechi zao siangaliagi.
Emirates Kuna atmosphere Kali , pia huwa tunafungulia Busta Zote sababu ya sapoti ya mashabiki , wachezaji wanakimbia Sana , flow ya pass huwa Ni kubwa Sana .

Kaangalie mechi ya Arsenal vs Newcastle iliyoisha 0-0

Alikuja na 4-3-3 tupishane , walipoona Moto unakuja tu ,for the first time Newcastle wakabadili mfumo 5-4-1 , na kupoteza muda ndipo wakapata Draw

Silaha yenu Ni kaunta attack tu, hamna uwezo wa kubattle Midfield , kimbembe kitaanzia hapo .
 
Duh Kwa hiyo kijana unataka kusema hii mech na man city ilikuwa Cha mtoto??

Utaacha nisiangalie maana nina presha ya kufa mtu
 
Duh Kwa hiyo kijana unataka kusema hii mech na man city ilikuwa Cha mtoto??

Utaacha nisiangalie maana nina presha ya kufa mtu
Wewe kwa hali uliyonayo usisogee hata katika banda umiza,utapata kesi.....Arsenal hii madogo wanajua alafu wanajua tena......unapigwa mpira mtamu mpaka wapinzani wanàfurahia.....kama Conte jana amemwaga machozi hadharani ,wewe si tutakubeba kabisa
 
Arsenal Wana timu nzuri ok, wako na form nzuri ok , ok !

Wanadhani wanaweza kuifunga utd kirahisi? Tangu enzi na enzi, arsenal kwetu wachumba tu,, hata tuwe wabovu vp tunawapiga !

Recently tuna form nzuri, morale ya wachezaji iko juu Sana ,,,, why tusiwapige pale pale kwao ?

Before arsenal tuna game muhimu na palace, najua ETh hatotaka Mambo ya rotation ataweka full mkoko, tuombe tusipate injury kwa key players ili isiathiri game na Gunners !
 
Ni bora ndio ila magoli ni mistakes za wachezaji, sasa Loris pale alikuwa nawaza nini si zawadi kabisa hiyo katoa?
Alijua Saka atapiga Vpass
so concetration akaiweka upande wake wa kulia ,kustuka mpira upo kifuani akasema bora yesheeeeeee
 
Kwa mujibu wa Akanji, Bruno alishout kumwambia Rashid auache (asiguse mpira) mpira.
 
Rekodi za karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…