OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Subiri mechi ijayo kama utamuona huyo na fred.Kocha ananata na bit tangu huyo jamaa Wan-Bissaka arud hakuna game tumepoteza na kufungwa n magoli machache alafu jamaa anakaba sana na kushambulia
Mmepigwa tena 100 Mudryk, huyo chakinolisi hawezi kua naproject ya kueleweka.Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFC
kwa maono yako unaona Van Gaal yupo sawa?..?Van dijk alimdanganya nini mwenzie maana hata vaan gaal ndio anavyoshawishi wachezaji wasiende united
Mkuu samahani hivi kwa huu mwandiko wako, wa (munashinda,mutajua,musimu,mutaweka,nawambiya,mutakuwa na mugumu).Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFCππππ
Ahhhh kiswahili kweli kigumuMkuu samahani hivi kwa huu mwandiko wako, wa (munashinda,mutajua,musimu,mutaweka,nawambiya,mutakuwa na mugumu).
Duh, ulipita hata memkwa kweli, kwa huu uandishi wako ebu tulia uandike Vizuri kwanza hakuna nukta Wala mkato. Afu unalamika huku wakati nafasi ya chely wowo na united kimsimamo ni tofauti msimu huu nakuzidi kila kitu.
Nyie pambaneni na maboya wenzenu wa London kuibiana vituko kina mudryk, na kusajili hovyo maboya wengine ili mshiriki Europe msimu ujao.
Ametuchelewesha sana. Safi sana E10HCR7 sijui anajiskiaje
Uzuri kocha anapanga kikosi kutokana na game wanayoenda kucheza kwann hakumweka Martinez Jana sababu alijua dogo bado sio masta wa kucheza na jukwaa all in all tumeshinda na tutashindwa na mwisho wa ligi hawata amini kuwa Manchester United ame............Subiri mechi ijayo kama utamuona huyo na fred.
Wameanza uchawi, marcus rashford ndiye aliyekuwa offside lakin naye alijijua kuwa yupo offside na hakuugusa ata kidogo huo akamuachia the killer bruno Fernandez akikimbia kutokea nyuma na kuuwahi mpira na kuachia bonge ya shoot adi goal.... Kama Rashford angeupiga ule mpira ingekuwa ni offside.Kama unahisi mancity kaonewa leta timu yako OT
LVG ni bonge la kocha, ila kufanya kazi na woodward ni kitu kigumu sana, ameprove sehemu nyingi tu kuwa yeye ni top coach.Lkn kocha mmj hiv namuona hajatulia kabisa. Mzee mzima van gal namuona ni aged lkn stupid.
sasa hivi mmekuwa Clowns, Toka Woodward aondoke kampa kijiti Boehly.Nyie mambanga saivi munashinda shinda meno yote nje nje sasa hongereni kwa ilo ila sisi puroject etu ikikaa sawa aise nawambieni mutajua hamujui unaona jinsi tunavyoshusha vyuma!? Yani musimu ujao sijui mutaweka wapi sura zenu maana tutagawa dozi ile mithili ya mateso ya yesu.. hii timu enu ya kuunga unga na uyu kocha enu anawaletea waholanzi tu nawambiya mutakuwa na wakati mugumu sana
#CFCππππ
Sure thing,The best thing yule beki wa city angefanya ni kumchezea rafu rashford badala yake akafanya assumption refa ataona offsude,Bruno amefanya vzr kwa kukimbia bila kuwaza offside ya Rashford (alikua anawaza filimbi tu ndo ingemzuia),It shows fighting spirit ipo juu sana.Wameanza uchawi, marcus rashford ndiye aliyekuwa offside lakin naye alijijua kuwa yupo offside na hakuugusa ata kidogo huo akamuachia the killer bruno Fernandez akikimbia kutokea nyuma na kuuwahi mpira na kuachia bonge ya shoot adi goal.... Kama Rashford angeupiga ule mpira ingekuwa ni offside.
Yaani huyu Greenwood tumepoteza mashine ya mabao yule dogo akilitizama goli ni either kipa adake au kamba. Ni mara chache sana kipa akadaka shuti lake au kupaiza.Basi tu Greenwood na matatizo yake, ila tungekuwa hatari sana huku Garnacho huku mfungwa, ETH akiaminiwa zaidi team hii itabadilika sana