Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,751
- 5,623
Angekuwa yule mwenye bichwa kubwa Maguire angekuwa kimya tu mbwa yule
Bruno hiki kitambaa apewe tu, kama sio makelele yake pengine lile goli lingekataliwa.
Teh enzi za OLE alichacha kuna moment alikua anatoa boko mpaka unataman uingie umchape fimbo ata Rashfd nahisi ETH anajua kuwatumiaAaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.
Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Kocha ananata na bit tangu huyo jamaa Wan-Bissaka arud hakuna game tumepoteza na kufungwa n magoli machache alafu jamaa anakaba sana na kushambuliaUkitaka kujua ujinga wa huyu kocha wetu, mechi ijayo atamuanzisha Dalot na Fred atamuanzishia benchi na Martial ataanza tena.
Comeback ya leo itakuwa imemkumbusha enzi zake 😃
Spurs ni takataka sana wanapocheza na arsenaneNgoja spurs awakande utarudi kulia hapa
Mpaka kibendera katetemeka 🤣😂
Bruno hiki kitambaa apewe tu, kama sio makelele yake pengine lile goli lingekataliwa.
Shukrani mkuuSaa sita game inarudiwa Supersport Premier League..
Dstv 223
Bisaka ni mkabaji mzuri mno yaan kumpiga chenga yule ujipange.Tatizo lake lilikuwa kupandisha timu naona hili kwa ssa analifanya vyema na chenga analamba watu.Yule jamaa n moto mbaya sema sijui kwann kocha hamwamin Ila jamaa anaujua vizuri sana
Huyu mwamba ni kama Sir Ferg alikuwa hatabiriki kikos chake alikuwa anapanga kutokana na aina ya game sio wakina Ole guna walikuwa wamekariri kikosi.We Jamaa ETH muache kabisa.
Kocha anajali uwezo wako mazoezini sio jina, hapo wachezaji lazima wajitumeBisaka ni mkabaji mzuri mno yaan kumpiga chenga yule ujipange.Tatizo lake lilikuwa kupandisha timu naona hili kwa ssa analifanya vyema na chenga analamba watu.
Kifupi kocha anahitaji pongezi sababu kaleta ushindani wa number ambao umesaidia wachezaji kujituma, embu fikiria leo hii Maguire hana number wakati OGS alimuendekeza akamfukuzisha kazi, leo Shaw anatolewa left anawekwa kati anapiga kazi safi Martenez anaanza bench. What a kocha? Ronaldo anazingua anasitishiwa mkataba loooh! Yaani ETH ni kama Ferg alivyokuwa hataki upuuzi
😂🤣😂🤣😁😁 wanaachia ppints kizembe mnoSema Spurs kama matahira vile..usishangae akapigwa kama bwege
Kono limekita kwa nguvu zoteLet the Race begin View attachment 2481139View attachment 2481145View attachment 2481150View attachment 2481155
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
By the orders of peaky fucking blindersAlejandro Garnacho in 25 minutes vs. Manchester City:
14 touches
1 aerial duel won
1 key pass
1 big chance created
1 assist
Generational.
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2481196
Brighton kamaliza paktiUnajisikiaje kukojolewa vitatu ?
Erick ni master wa dutch ni moja kati ya watu wenye intelligence kubwa ya sokaKocha anajali uwezo wako mazoezini sio jina, hapo wachezaji lazima wajitume
Basi tu Greenwood na matatizo yake, ila tungekuwa hatari sana huku Garnacho huku mfungwa, ETH akiaminiwa zaidi team hii itabadilika sanaGarnacho impact
MUTV kesho mida ya saa 1 usikuWakuu sehemu gani naweza kuirudia hii game tena kwa dk 90
Asante mkuu nimeonaMUTV kesho mida ya saa 1 usiku
Hizi picha bila ya yule Dogo Malisia ni ubatili mtupuLet the Race begin View attachment 2481139View attachment 2481145View attachment 2481150View attachment 2481155
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app