Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sure mkuu! Huyu mmbazili Ni mtu na nusu ,,,, wakati tunamsajili kwa pesa ndefu wapinzani walitucheka tumepigwa, kashinda kila kitu so Hana Cha ku-prove anakuja kula pension !!!!
 
Nikikumbuka enzi zile msimu iliyopita Rashford na marangi yake kwenye nywele anabutua hovyo na kukosa nafasi nyingi za wazi watu humu walikuwa wanamuita TrashFord na kutaka aondoke haraka na kuweka benchi..


Ila Chief-Mkwawa akawa anakuja na takwimu za Rashford yuko kwenye form na Mbappe huku akituaminisha kuwa nado ni hazina na ni mchezaji bora , huku mashabiki wengi tukamuona kama Chief ni chawa wa Rashford leo hii kawa mtu Kazi anapika boli ya uhakika.
 
Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.

Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani
Haaland Ni goal getter,,,anasubiri malisho, ukiziba njia basi!

Mpambe yule Ni fighter, ana-drible, anatoa anapokea anaweka !
 
Kulinda Ni mzuri, ila attacking sio mzuri Sana,,,, dalot anajitahidi ku-offer vyote !!!!

Sifa nyingine ya AWB anakaba kwa nidhamu kiasi Hana panic
 
Kulinda Ni mzuri, ila attacking sio mzuri Sana,,,, dalot anajitahidi ku-offer vyote !!!!

Sifa nyingine ya AWB anakaba kwa nidhamu kiasi Hana panic
Natofautiana na wewe kidogo. Dalot kulinda sio mzuri ana offer kwenye attacking. Recently baada ya kusugua benchi almost mwaka mzima Bissaka now amerudi yule wa crystal palace ana offer vyote kulinda na kushambulia. Tukiwa tunashambuliwa hasa upande wake now sina hofu kabisa katulia sana
 
Ukitaka kujua ujinga wa huyu kocha wetu, mechi ijayo atamuanzisha Dalot na Fred atamuanzishia benchi na Martial ataanza tena.
 
Nakumbuka sana walimpinga sanaa Na sasa anawaprove wrong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…