kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,775
- 20,690
Kulinda Ni mzuri, ila attacking sio mzuri Sana,,,, dalot anajitahidi ku-offer vyote !!!!Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.
Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Natofautiana na wewe kidogo. Dalot kulinda sio mzuri ana offer kwenye attacking. Recently baada ya kusugua benchi almost mwaka mzima Bissaka now amerudi yule wa crystal palace ana offer vyote kulinda na kushambulia. Tukiwa tunashambuliwa hasa upande wake now sina hofu kabisa katulia sanaKulinda Ni mzuri, ila attacking sio mzuri Sana,,,, dalot anajitahidi ku-offer vyote !!!!
Sifa nyingine ya AWB anakaba kwa nidhamu kiasi Hana panic
BarWakuu sehemu gani naweza kuirudia hii game tena kwa dk 90
Ukitaka kujua ujinga wa huyu kocha wetu, mechi ijayo atamuanzisha Dalot na Fred atamuanzishia benchi na Martial ataanza tena.Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.
Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Saa sita game inarudiwa Supersport Premier League..Wakuu sehemu gani naweza kuirudia hii game tena kwa dk 90
We Jamaa ETH muache kabisa.Ukitaka kujua ujinga wa huyu kocha wetu, mechi ijayo atamuanzisha Dalot na Fred atamuanzishia benchi na Martial ataanza tena.
Nakumbuka sana walimpinga sanaa Na sasa anawaprove wrongNikikumbuka enzi zile msimu iliyopita Rashford na marangi yake kwenye nywele anabutua hovyo na kukosa nafasi nyingi za wazi watu humu walikuwa wanamuita TrashFord na kutaka aondoke haraka na kuweka benchi..
Ila Chief-Mkwawa akawa anakuja na takwimu za Rashford yuko kwenye form na Mbappe huku akituaminisha kuwa nado ni hazina na ni mchezaji bora , huku mashabiki wengi tukamuona kama Chief ni chawa wa Rashford leo hii kawa mtu Kazi anapika boli ya uhakika.
Angekuwa yule mwenye bichwa kubwa Maguire angekuwa kimya tu mbwa yule
Bruno hiki kitambaa apewe tu, kama sio makelele yake pengine lile goli lingekataliwa.
Teh enzi za OLE alichacha kuna moment alikua anatoa boko mpaka unataman uingie umchape fimbo ata Rashfd nahisi ETH anajua kuwatumiaAaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.
Sifa na pongezi zangu ziende kwa Aaron Wanbissaka
Kocha ananata na bit tangu huyo jamaa Wan-Bissaka arud hakuna game tumepoteza na kufungwa n magoli machache alafu jamaa anakaba sana na kushambuliaUkitaka kujua ujinga wa huyu kocha wetu, mechi ijayo atamuanzisha Dalot na Fred atamuanzishia benchi na Martial ataanza tena.
Comeback ya leo itakuwa imemkumbusha enzi zake π[emoji16][emoji3590]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]
man utd |View attachment 2481177View attachment 2481178
Spurs ni takataka sana wanapocheza na arsenaneNgoja spurs awakande utarudi kulia hapa
Mpaka kibendera katetemeka π€£π
Bruno hiki kitambaa apewe tu, kama sio makelele yake pengine lile goli lingekataliwa.
Shukrani mkuuSaa sita game inarudiwa Supersport Premier League..
Dstv 223
Bisaka ni mkabaji mzuri mno yaan kumpiga chenga yule ujipange.Tatizo lake lilikuwa kupandisha timu naona hili kwa ssa analifanya vyema na chenga analamba watu.Yule jamaa n moto mbaya sema sijui kwann kocha hamwamin Ila jamaa anaujua vizuri sana
Huyu mwamba ni kama Sir Ferg alikuwa hatabiriki kikos chake alikuwa anapanga kutokana na aina ya game sio wakina Ole guna walikuwa wamekariri kikosi.We Jamaa ETH muache kabisa.
Kocha anajali uwezo wako mazoezini sio jina, hapo wachezaji lazima wajitumeBisaka ni mkabaji mzuri mno yaan kumpiga chenga yule ujipange.Tatizo lake lilikuwa kupandisha timu naona hili kwa ssa analifanya vyema na chenga analamba watu.
Kifupi kocha anahitaji pongezi sababu kaleta ushindani wa number ambao umesaidia wachezaji kujituma, embu fikiria leo hii Maguire hana number wakati OGS alimuendekeza akamfukuzisha kazi, leo Shaw anatolewa left anawekwa kati anapiga kazi safi Martenez anaanza bench. What a kocha? Ronaldo anazingua anasitishiwa mkataba loooh! Yaani ETH ni kama Ferg alivyokuwa hataki upuuzi
ππ€£ππ€£ππ wanaachia ppints kizembe mnoSema Spurs kama matahira vile..usishangae akapigwa kama bwege