Na-enjoy sana siku hizi, Chelsea anateseka, Liverpool wanakimbizwa na Brighton sasa hivi. Arsenal siku siyo nyingi upepo utakata hasa nikikumbuka hawajakutana na City hata mara moja maana yake points 6 zipo kwenye mstari.
Aaron wanbissaka huyu jamaa apewe heshima yake ya pekee pale Manchester United huyu jamaa katulia tuli alafu anakiwasha hatari kila game %zake zimekaa vizuri yule Dalot anaforce namba Ila kwa huyu mzeiya n Moto.