Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kati pako solid, Fred na Casemiro!

Naona licha Hana fitness!

Upande wa malacia akipelekewa Sana Moto huwa anapanic anaweza kula umeme !

Leo Martial atatusuprise, ana kismati na mechi kubwa ! Assist au goal

Huku kwa AWB naona hakuna shida !

Kipindi Cha pili wataingia kina Anthony !

Joao cancelo siku hizi anakabia macho, sio yule ! Let's go

#GGMU
 
Mnajitutumuaga
 
Reactions: K11
Ikiwa hivyo, kesho itakua Totte 2 Aseno 1
Na hivi wako kwao tena? Inawezekana kabisa. Kawaida Sisi tukicheza na Spurs pia tunakuwa tunacheza na FA na PGMOL kwa pamoja hivyo the odds are usually stacked against us. Huwa inatupasa sisi tupae wao wanapotembea.
 
Kosa la kwanza EtH atakalolifanya kesho ni kuanza na kiungo cha Casemiro,Fernendes na Eriksen.

Tunahitaji mkimbiaji hapo katikati..ile game ya sita goli la kwanza lilianzia pale Eriksen alipoacha kucheza tactical foul..Fred atatusaidia kwa kazi hii.
Fred yupo ndani leo, unakiongeleaje kikosi?
 
Mama Cita Sinyorita,
Leo tunakugongwa goli sita,
Kila ukiinama sisi tunaweka,
Mpaka mwisho utajuta,
Kwa nini uwanjani timu ulileta.

MR10 Hatrick
Anthony 2
Bruno 1


#End of an era
Hahaha. daah. bonge moja la taarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…