Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,789
Wewe na huyo dadako Ever leo mtapigwa hadi mchakaeKila la kheri Everton
Atletico wanataka €15M loan fee plus €6M full salary package kwa miezi 6 bila buyout option clause. United tume-draft offer kwa wakala wake Jorge Mendes €10M yaani ada ya uhamisho(€4M) na mshahara(€6M) ila jamaa wamekaza wanataka tuongeze €11M.12m ya nini?..loan fee au?
Yap na mshahara tulipe full,12m ya nini?..loan fee au?
Hakika Jombaa. Binafsi sina imani sana na Martial kwanza hana uhakika wa kucheza mechi 5 mfululizo bila injuries.Shida yetu kubwa hua ni beki na mshambuliaji pale mbele, upande wa beki tokea ujio wa Lisandro Martinez naona ukuta umeimarika, ila pale mbele kwa kumtegemea Martial tutafeli vibaya mno endapo Rashford ataumia.
Martial nimemwangalia hizi game ligi ilivyorudi baada ya World Cup,,daah kusema ukweli anakatisha tamaa..Tumebaki na Rashford tu..sasa hii sio nzuri hata kidogo.Hakika Jombaa. Binafsi sina imani sana na Martial kwanza hana uhakika wa kucheza mechi 5 mfululizo bila injuries.
N.B Martial dhidi ya City huwa hajawahi kuniangusha.
Mechi za saa 5 zinakera kinoma ilisababisha nikaikosa mechi ya Nottingham Forest nilipumzika lengo saa 5 ikifika nicheki game nakuja kushtuka mechi ishaisha.Everton leo kayakanyaga lazima achapike pale kwenye vile vitofali vya kuchoma.
Ila hizi mechi za saa 11:00 zimeshaanza kunichosha, utafikiri tunaangalia La Liga banaa.
FULL MKOKOOO!!!First XI ya leo ni mwendo wa kuminya mbupu tu.
Ila tukitoboa leo game ya Everton aweke full mkoko then kwa Charlton rotation kidogo. City na Arsenal ni full mkoko.
Msimu huu tunapiga kotekote, FA na Carabao ndo vikombe vyetu.
#GGMU
First XI ya leo ni mwendo wa kuminya mbupu tu.
Ila tukitoboa leo game ya Everton aweke full mkoko then kwa Charlton rotation kidogo. City na Arsenal ni full mkoko.
Msimu huu tunapiga kotekote, FA na Carabao ndo vikombe vyetu.
#GGMU
Mwamba umefika.Napita hapa kijiwe nongwa vijana wana tabasamu kweli kweli kama wameambiwa kuna bia za bure kumbe amna bwana nimewauliza kuna nini hapa wame jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester united 1 vs Everton 0
Time
Saa 5 usiku
Last match
Everton 1 vs manchester united 2
GGMUView attachment 2471254
Goli la kizembe mno.De gea dah goli gani hili
***** aliefunga goli ni nani mbona mnapenda kuandama wachezaji kama ni kazi rahisi ??Hatuwezi kushinda chochote kwa wachezaji kama martial na Anthony