Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sure,,, siku hizi mtu anakuambia mbona Bruno hafungi Sana ? Assist ??

Lakini ukimuangalia vzr Ni Kama ETH amempa free role,,,,, ! Yupo kote kote, sio kukaba tu bali kushambulia pia Yani kila mahali utamuona, achilia mbali zile long range zake ambazo Zina madhara Sana ,,,akizipata rashyy mpinzani ameumia !

Pia fighting spirit yake iko juu Sana ,,,,
 
Forward gani ya maana tutaipata hii January ? Inaonekana ngumu Sana, atletico wanabana Sana, wanataka tulipe mshahara wote , pia tutoe na loan fee kitu ambacho utd wamekipinga,,,,

tusisahau j,Felix Ni injury prone flani,,, akikupa mechi kumi consecutively Ni bahati Sana ,,,japo siku za hizi karibuni before WC and after WC kajitahidi kuwa fit!

Ndio nafasi ya muhimu tunaihitaji kwa Sasa, then June ndo utafanyika usajili wa maana kulingana na wachezaji watakaondoka/kuongezewa mikataba n.k! Pia hii itadepend Kama tutapata wamiliki wapya !

Chief-Mkwawa unamuonaje Shaw Kama LCB ?

Dalot over AWB? -consider their current form !
 
Shaw chini ya Ole pia alicheza sana LCB ni nafasi anayoijua, hasa Big matches tulipokuwa tunacheza na watu watatu nyuma, ila hana ubavu wa kumpiga benchi Martinez, so ataendelea tu kubwa LB na Martinez LCB.

Pia Dalot ataanza mbele ya AWB, anafit zaidi mfumo wa ETH, ila ngoja tuone.
 
Kwan hii timu inashida ya pesa ama uongoz
Sema kumpata striker Januari hii huwa ni kisanga
Ila walete hata yule VINCENT ABUBAKAR mbona mtu sana yule
Kwa miezi sita anatosha
 
Sisi nyota yetu ipo kwa makipa, huwa hatutaki mchezo. Kuna kipindi tulikuwa na Valdez, De gea na Romero msimu mmoja.
Shida yetu kubwa hua ni beki na mshambuliaji pale mbele, upande wa beki tokea ujio wa Lisandro Martinez naona ukuta umeimarika, ila pale mbele kwa kumtegemea Martial tutafeli vibaya mno endapo Rashford ataumia.
 
Shida yetu kubwa hua ni beki na mshambuliaji pale mbele, upande wa beki tokea ujio wa Lisandro Martinez naona ukuta umeimarika, ila pale mbele kwa kumtegemea Martial tutafeli vibaya mno endapo Rashford ataumia.
Wanatafuta Mshambuliaji ila ndo wa bei ya mafungu,

Report ni huyo Felix, wamepeleka 4m na Atletico wanataka 12m, ngoja tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…