Sisi wengine mchezaji akicheza ovyo kwa mujibu wa macho yetu ni mwendo wa kuponda.
Next match akicheza vyema tunasifia.
Mambi ya takwimu za defence, sijui mikimbio, shape na mengineo tunawaachia wengine wenye ujuzi.
Sijishughulishi sana kuangalia mpira kwa jicho la mbinu, majukumu na ufundi na sijafikiria kutake time kuyafuatilia na kujifunza.
Najiamini kwa sababu nimejaaliwa jicho kali na uzoefu wa kuangalia hii mipira tokea nikiwa kijana mdogo wa miaka 7 unanisaidia
Yuko wapi tavares wa arsenal,
Nilimuona mechi mbili tu nikagundua huyu si mchezaji atakayewapeleka mbele arsenal.
Bwana yule akaja na hoja zake sijui ufundi, taktiki, presha ya ligi
nikamuacha, leo wanatamba na zinchenko.
Mpira si rocket science