D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Top 4 Race sasa hivi hawa jamaa ni competitor wetu,Newcastle United have recalled Martin Dubravka from his loan at Man United. Newcastle's decision to activate their January recall clause. United yet to make a decision on whether to sign a replacement. Leaves Heaton and Bishop as back-ups for De Gea.
nilifikiri mmoja kati ya makipa wao ameumiaTop 4 Race sasa hivi hawa jamaa ni competitor wetu,
Wana Makipa wa 4, na Huyu Dubravka anakuwa wa 5, hata kama Kaumia mmoja ama wawili haiwaathiri.nilifikiri mmoja kati ya makipa wao ameumia
Yaani uchukue points 3 kwa arsenal Emirates kirahisi ? Ile mechi ya OT yenyewe hata kuikamata au kui dominate mlishindwa ,itakuwa Emirates?Kama wataweza ku-battle na top 2 clubs litakuwa jambo zuri sana kwa wachezaji maana yake mechi 3 zijzo tukusanye points 9 na 6 kati ya hizo zitoke kwa City na Arsenal.
Points 3 kwa Arsenal inawezekana kabisa ila City nina mashaka sana. Tusubiri tu tuone.
Jamaa ana stress achana nae. Sio kwa arsenal hii. Kwanza kuilinganisha arsenal na man u hii ni makosa sanaYaani uchukue points 3 kwa arsenal Emirates kirahisi ? Ile mechi ya OT yenyewe hata kuikamata au kui dominate mlishindwa ,itakuwa Emirates?
Yangu macho
Walikuwa wakikimbia kipindi cha hesabu,wataelewa taratibu.Ni ndoto? Thats Mathematical possible, Tukishinda Mechi 3 zijazo bila kujali Matokeo ya wengine
1. Tunakua point moja Nyuma ya mshindi wa Pili City
2. Tunakuwa Point 8 nyuma ya Arsenal.
Wanawaza ubingwaJamaa ana stress achana nae. Sio kwa arsenal hii. Kwanza kuilinganisha arsenal na man u hii ni makosa sana
Kuna siku nilielezea kwenye uzi wenu kwanini tuliwafunga japokuwa mlituzidi kiuchezaji.Yaani uchukue points 3 kwa arsenal Emirates kirahisi ? Ile mechi ya OT yenyewe hata kuikamata au kui dominate mlishindwa ,itakuwa Emirates?
Yangu macho
Ukisikia hesabu za kufikirika ndio hizi sasaNi ndoto? Thats Mathematical possible, Tukishinda Mechi 3 zijazo bila kujali Matokeo ya wengine
1. Tunakua point moja Nyuma ya mshindi wa Pili City
2. Tunakuwa Point 8 nyuma ya Arsenal.
Arsenal ya kawaida sana na jana defense yenu imekuwa exposed na Brighton.Jamaa ana stress achana nae. Sio kwa arsenal hii. Kwanza kuilinganisha arsenal na man u hii ni makosa sana
Na Nyie mlitufunga tukiwaje, ule mchezo tuliteleza tu, Kwa Arsenal kwa sasa the real test ni Man City tu...wengine labda wabahatishe.The real test kwa Arsenal ni top 6 clubs tu.
United tuliwaonyesha jinsi mlivyo weupe.
Liverpool mlimpiga kwa margin ya goli 1 akiwa kawakimbiza mkapata penalty.
Spurs alipotea baada ya red card na ndiyo mkaweza kumkimbiza kwa kila eneo.
Chelsea vichaa tu.
Brace yourself, a storm is coming.
Lini united aliwahi dominate game na asenoYaani uchukue points 3 kwa arsenal Emirates kirahisi ? Ile mechi ya OT yenyewe hata kuikamata au kui dominate mlishindwa ,itakuwa Emirates?
Yangu macho
Rudia tena game ya united vs Arsenal alafu uje kuandika upya ,najua itakusaidia kujiamdaa kisaikolojia namna utakavyopigika hapo Emirate,najua kuwa wajua ila nataka ufanye reinforcement.....tuliwapigia soka la uhakika....The real test kwa Arsenal ni top 6 clubs tu.
United tuliwaonyesha jinsi mlivyo weupe.
Liverpool mlimpiga kwa margin ya goli 1 akiwa kawakimbiza mkapata penalty.
Spurs alipotea baada ya red card na ndiyo mkaweza kumkimbiza kwa kila eneo.
Chelsea vichaa tu.
Brace yourself, a storm is coming.
Aisee kama kuna ukweli hivi maana hata ile mechi ambayo United anashinda goli 8-2 Arsenal aliongoza ball possession. Nakumbuka hata mechi ya mwaka 2001 ambayo United alishinda goli 6-1 pia Arsenal aliongoza kwa kumiliki mpira.Lini united aliwahi dominate game na aseno
Toka enzi ya wenger nyie ndio mnaokamata game ila ubao sasa unasomaje mi sijui
Kwamba????🦻🦻 Ongeza volume kidooooogooo....Arsenal ya kawaida sana na jana defense yenu imekuwa exposed na Brighton.
Brighton ndiyo timu pekee ukiacha United imeonyesha udhaifu wenu ni vile tu na wao walikuwa na makosa mengi ya kiulinzi na udakaji.
Mkuu Chief mie huwa unanivutia sana kwa namna ulivyo optimistic na timu yetu hata iwe ovyo kiasi gani.Full fit Rashford na Martial, City anafungika.
Chief-Mkwawa ana nidhamu ya ajabu sana linapokuja swala la ushabiki.Wewe ni mfia timu kwakweli mkuu,big
Uzuri wake anakuja hadi takwimu toka vyanzo vya kuaminika kabisa.Chief-Mkwawa ana nidhamu ya ajabu sana linapokuja swala la ushabiki.