Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man utd huwa akiondoa fear factor anatishaga sana.

Ninapenda uchezaji wa malacia, Antony, dalot, Martinez, experience ya casemiro they don't fear, wanafanya timu inawakawaka
 
View attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
Tatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.

Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.

Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.

Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.

Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
 
2021 mda kama huu tulikuwa tunamfukuzia Liverpool na tukampata tukawa Juu Epl Table. Hata 2020 pia tulivyoanza kuifukuzia Top 4 hatukupunguza speed mpaka tukawa watatu.

Same kwa sasa timu ina Fight spirit nzuri tu, Timu yetu inacheza sasa hivi bila Dalot, Martinez, Shaw (Natural position) na Sancho lakini unaona kabisa timu ipo vizuri.

Na pia mtofautishe kugombania ubingwa na Kuchukua Ubingwa ni vitu viwili tofauti.
 
Arsenal katika mechi tatu zijazo ,mechi ngumu Ni ya away, Arsenal kwa Sasa ndio best kwa Atmosphere Wakiwa home , naziona points 7-9 katika hizo mechi 3, coz 2 home ,1 ya Spurs away .Spurs Kama unavyomjua ,Ni kudefence tu
 
Bado tu hamjakoma kuhusu ratiba yetu, ile ya October ilikua ni ngumu kuliko hata iyo inayokuja
 
Kama wataweza ku-battle na top 2 clubs litakuwa jambo zuri sana kwa wachezaji maana yake mechi 3 zijzo tukusanye points 9 na 6 kati ya hizo zitoke kwa City na Arsenal.

Points 3 kwa Arsenal inawezekana kabisa ila City nina mashaka sana. Tusubiri tu tuone.
 
Msimu uliopita Mkuu mechi tatu tu zilituangusha.

Na ilichangiwa Kwa kias kikubwa na nidhamu mbovu ya kuanzia rashford, Pogba, martial,Cr7, na wengine. Yaani ilikuwa upuuz Sana.

Nakumbuka wachezaji walikuwa wanatembea uwanjani. Na kweli walikuwa na uwezo mkubwa tu.

Moja ya mechi nakumbuka tulidraw Moja, mbili tukafungwa, zilikuwa mech muhimu Sana.

Katika matukio Yale, nakumbuka au tunakumbuka, Maguire alikuwa akifanya makosa Sana, na wkt ule akimuumiza Pogba na Ronaldo, vilevile Gollkeeper hakuwa na Imani na Maguire kiufupi, kocha alistahili kupisha timu Kwa mwalimu mwingine
 
Martial alikua kwa Mkopo Sevilla
 
Full fit Rashford na Martial, City anafungika.
 
Maajabu hayatakuwa Arsenal kuchukua ubingwa
Maajabu yatakuwa Arsenal kuukosa ubingwa...


Kiuhalisia nyinyi MSHAVULIWA UBINGWA
 
Arsenal katika mechi tatu zijazo ,mechi ngumu Ni ya away, Arsenal kwa Sasa ndio best kwa Atmosphere Wakiwa home , naziona points 7-9 katika hizo mechi 3, coz 2 home ,1 ya Spurs away .Spurs Kama unavyomjua ,Ni kudefence tu
Tofauti ya points 7 ndogo sana kwa mpinzani wenu City. Arsenal kuna mahali mtashikwa kwenye 2nd half ya EPL. Mechi 10 za mwisho zitaamua ubingwa kulingana na gap la mtu wa kwanza na wa pili.
 
Maajabu hayatakuwa Arsenal kuchukua ubingwa
Maajabu yatakuwa Arsenal kuukosa ubingwa...


Kiuhalisia nyinyi MSHAVULIWA UBINGWA
The real test kwa Arsenal ni top 6 clubs tu.

United tuliwaonyesha jinsi mlivyo weupe.

Liverpool mlimpiga kwa margin ya goli 1 akiwa kawakimbiza mkapata penalty.

Spurs alipotea baada ya red card na ndiyo mkaweza kumkimbiza kwa kila eneo.

Chelsea vichaa tu.

Brace yourself, a storm is coming.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…