Shida Manchester ushindi wenu haupo mbali na sare au kufungwa ,hamshindi comfortable mechi nyingi ,Mpira hauna adabu mkuu. Kila kitu kinawezekana
Ndani ya hizo mechi 3 , una City na ArsenalKabisa tena jambo lipo ndani ya uwezo wetu.
Kabisa hakuna aliyekua anategemea jana City kikamkuta kile
Man utd huwa akiondoa fear factor anatishaga sana.City anaweza kudondosha point Zaid ,wingers zake zimekuwa predictable ,hasa Grealish ,pia City ukimbishia hodi anakubali ,backiline yake sio strong Kama ya miaka miwili au mitatu iliyopita
Rejea mechi na Man u 2nd half Baada ya man u kuondoa ile fear factor ,Man city alizidiwa kila Kitu
Ni ndoto? Thats Mathematical possible, Tukishinda Mechi 3 zijazo bila kujali Matokeo ya wengineMashabiki wa Man U tuacheni hizi ndoto.
Tufurahie kushinda mechi, swala la ubingwa tusahau.
Huu uzi utakuwa mkali sana. 🔥Manchester United 23-24 Away Kit Design Leaked
#Footy_Headlines
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2464926
Tatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.View attachment 2465019
Kwa Ratiba ya City na Arsenal tukishinda Mechi 3 zijazo mfululizo tunaweza Officially kuingia kwenye mbio za kugombania ubingwa.
2021 mda kama huu tulikuwa tunamfukuzia Liverpool na tukampata tukawa Juu Epl Table. Hata 2020 pia tulivyoanza kuifukuzia Top 4 hatukupunguza speed mpaka tukawa watatu.Tatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.
Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.
Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.
Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.
Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
Arsenal katika mechi tatu zijazo ,mechi ngumu Ni ya away, Arsenal kwa Sasa ndio best kwa Atmosphere Wakiwa home , naziona points 7-9 katika hizo mechi 3, coz 2 home ,1 ya Spurs away .Spurs Kama unavyomjua ,Ni kudefence tuTatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.
Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.
Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.
Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.
Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
Bado tu hamjakoma kuhusu ratiba yetu, ile ya October ilikua ni ngumu kuliko hata iyo inayokujaTatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.
Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.
Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.
Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.
Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
SanaHuu uzi utakuwa mkali sana. 🔥
Kama wataweza ku-battle na top 2 clubs litakuwa jambo zuri sana kwa wachezaji maana yake mechi 3 zijzo tukusanye points 9 na 6 kati ya hizo zitoke kwa City na Arsenal.2021 mda kama huu tulikuwa tunamfukuzia Liverpool na tukampata tukawa Juu Epl Table. Hata 2020 pia tulivyoanza kuifukuzia Top 4 hatukupunguza speed mpaka tukawa watatu.
Same kwa sasa timu ina Fight spirit nzuri tu, Timu yetu inacheza sasa hivi bila Dalot, Martinez, Shaw (Natural position) na Sancho lakini unaona kabisa timu ipo vizuri.
Na pia mtofautishe kugombania ubingwa na Kuchukua Ubingwa ni vitu viwili tofauti.
Msimu uliopita Mkuu mechi tatu tu zilituangusha.Kama wataweza ku-battle na top 2 clubs litakuwa jambo zuri sana kwa wachezaji maana yake mechi 3 zijzo tukusanye points 9 na 6 kati ya hizo zitoke kwa City na Arsenal.
Points 3 kwa Arsenal inawezekana kabisa ila City nina mashaka sana. Tusubiri tu tuone.
Martial alikua kwa Mkopo SevillaMsimu uliopita Mkuu mechi tatu tu zilituangusha.
Na ilichangiwa Kwa kias kikubwa na nidhamu mbovu ya kuanzia rashford, Pogba, martial,Cr7, na wengine. Yaani ilikuwa upuuz Sana.
Nakumbuka wachezaji walikuwa wanatembea uwanjani. Na kweli walikuwa na uwezo mkubwa tu.
Moja ya mechi nakumbuka tulidraw Moja, mbili tukafungwa, zilikuwa mech muhimu Sana.
Katika matukio Yale, nakumbuka au tunakumbuka, Maguire alikuwa akifanya makosa Sana, na wkt ule akimuumiza Pogba na Ronaldo, vilevile Gollkeeper hakuwa na Imani na Maguire kiufupi, kocha alistahili kupisha timu Kwa mwalimu mwingine
Full fit Rashford na Martial, City anafungika.Kama wataweza ku-battle na top 2 clubs litakuwa jambo zuri sana kwa wachezaji maana yake mechi 3 zijzo tukusanye points 9 na 6 kati ya hizo zitoke kwa City na Arsenal.
Points 3 kwa Arsenal inawezekana kabisa ila City nina mashaka sana. Tusubiri tu tuone.
Ni katika move Yao ya mgomo mkuuMartial alikua kwa Mkopo Sevilla
Maajabu hayatakuwa Arsenal kuchukua ubingwaTatizo Manchester United na mathematics huwa haviendi pamoja.
Kipindi ambacho hesabu zinakubali ndiyo kipindi utaona timu ina-drop points kipuuzi. Mara ngapi tumekuwa kwenye top 4 race na tunajifelisha wenyewe.
Suala la kuwa kwenye title race linawezekana ila kushinda EPL ni ndoto ngumu sana kutimia.
Huu ubingwa naona kabisa ni City au Arsenal. Washika mitutu siwaamini sana kwasababu kuna fixtures wao kutoboa itakuwa ni vigumu sana.
Tusubiri tuone kama kuna maajabu msimu huu.
Tofauti ya points 7 ndogo sana kwa mpinzani wenu City. Arsenal kuna mahali mtashikwa kwenye 2nd half ya EPL. Mechi 10 za mwisho zitaamua ubingwa kulingana na gap la mtu wa kwanza na wa pili.Arsenal katika mechi tatu zijazo ,mechi ngumu Ni ya away, Arsenal kwa Sasa ndio best kwa Atmosphere Wakiwa home , naziona points 7-9 katika hizo mechi 3, coz 2 home ,1 ya Spurs away .Spurs Kama unavyomjua ,Ni kudefence tu
Mjomba naitunza hii risitiKama wataweza ku-battle na top 2 clubs litakuwa jambo zuri sana kwa wachezaji maana yake mechi 3 zijzo tukusanye points 9 na 6 kati ya hizo zitoke kwa City na Arsenal.
Points 3 kwa Arsenal inawezekana kabisa ila City nina mashaka sana. Tusubiri tu tuone.
The real test kwa Arsenal ni top 6 clubs tu.Maajabu hayatakuwa Arsenal kuchukua ubingwa
Maajabu yatakuwa Arsenal kuukosa ubingwa...
Kiuhalisia nyinyi MSHAVULIWA UBINGWA