Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi imepiganiwa, wachezaji wanajituma sana, Antony pia muangalieni kwa jicho la pili, jamaa anakaba all time, kwa speed yake leo ameua counter 2 ambazo wachezaji wa wolves wangekua 1v1 na De Gea.
Kukaba jamaa aisee anaongoza kwa wanaocheza mbele..

Ila final pass zake zimekuwa hovyo sana..kuna room for a change kwa hili.
 
Mechi imepiganiwa, wachezaji wanajituma sana, Antony pia muangalieni kwa jicho la pili, jamaa anakaba all time, kwa speed yake leo ameua counter 2 ambazo wachezaji wa wolves wangekua 1v1 na De Gea.
Ndio kilichomleta hiko kuzuia counter[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?????
Hili galasà uzeni mapema mkuu
 
Rashford mmoja ni sawa na kina Nketiah 1000 na Nyunyez watatu.
JINI KATOKA MGANGA HOI

Kila Siku ukitegemea miujiza , ndio yanayomkuta David Moyes

Kuna kimbunga kinakuja karibuni hapa 2 matches na Barca ,huku FA cup, huku Epl unasubiriwa Emirates,n.k

Ratiba Kama hii ndio ilimfukuzisha kazi Ole gunar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…