Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Basi Liverpool walifanya hili Dili kwa Siri Sana ,hata Dili la Diaz waliliendesha kwa Siri Sana,No way Psv wameshatangaza Official kabisa ina maana mikataba ishasainiwa kila kitu, haya sio mambo ya leo.
World class gani wewe, we world class unawajua?Ni world-class players lakini ama?
Ama hawaleak habari zao? Woodward alikuwa analeak kimakusudi transfers kugenerate clicks na interest.Liverpool wako faster ku-make decision kusajili wachezaji tofauti na United.Luiz,Thiago walisajiliwa the same style
Nurse tena. So UTD hawakubid.
Ngoja tuone wana Mpango gani
Kuna Possibility kubwa Mkuu tulisha opt kutomsajili kama Huyo Nurse yupo sahihi.Thats why most first target wanazikosa na many players wanakuwa overpriced .It was obvious world cup ni sehemu ya kutengeneza soko to some players na watakaofanya vizuri watagombaniwa na value zao zitapanda
You must ask faster kama unamtaka mchezaji
Mazungumzo siyo kuweka bid mezani mwa PSV!Man u ametajwa Sana alikuwa na mazungumzo na wakala wa Gapko
SiwajuiWorld class gani wewe, we world class unawajua?
ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.Mi mwenyewe sijui nini kitaendelea kama Ni ETH kachomoa ama Liver wametupokonya. Tutajua baadae.
Joao Felix Ni striker au Forward?ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.
Haya tusubiri huyo striker mwenye high qualities!!!
True ✓Ila lisandro mtu Sana, namkubali kwenye pass tu
Huyu angekuwa pale Emirates ,pangewaka Moto
Bila ETH kuwepo man u ,ilikuwa Mali yetu kabisa
wamepigwa hao liverpool kama kwa nunez tu walituwahi wakatoa 100 kumbe jamaa garasaKumbe hata kwa wenzetu mambo ya ujanja ujanja (mambo ya asilimia 10) yapo.
Unatoa 80 kwa Antony afu Cody unashindwa kumchukua kwa 35-40!
Hujui mpira yani Gakpo no world class player?Huna uwezo wa kusajili world class players kwa sasa
Alafu kimya kimya... hamna aliyejua hili...I like how Liverpool wanavyo-act faster kwenye usajili,
Labda mmehamishia nguvu kwa Jaoa FelixMi mwenyewe sijui nini kitaendelea kama Ni ETH kachomoa ama Liver wametupokonya. Tutajua baadae.
Arsenal tunanunua wachezajinkuja kuleta impact kuelekea malengo yetu sio kuongeza namba ya wachezaji...Unasemaje!!!?
Kwahiyo tulivyomsajili Ronaldo alikuwa siyo world class player?
Utafikiri Arsenal mna uwezo wa kushawishi world class players kuja kwenu. Timu yenu ina miaka mnanunua wachezaji wa mafungu.
Gakpo na Felix siyo world class players. Siyo wachezaji wa kusumbua vichwa kwenye kusajili.