Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Joao Felix Ni striker au Forward?ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.
Haya tusubiri huyo striker mwenye high qualities!!!
True ✓Ila lisandro mtu Sana, namkubali kwenye pass tu
Huyu angekuwa pale Emirates ,pangewaka Moto
Bila ETH kuwepo man u ,ilikuwa Mali yetu kabisa
wamepigwa hao liverpool kama kwa nunez tu walituwahi wakatoa 100 kumbe jamaa garasaKumbe hata kwa wenzetu mambo ya ujanja ujanja (mambo ya asilimia 10) yapo.
Unatoa 80 kwa Antony afu Cody unashindwa kumchukua kwa 35-40!
Hujui mpira yani Gakpo no world class player?Huna uwezo wa kusajili world class players kwa sasa
Alafu kimya kimya... hamna aliyejua hili...I like how Liverpool wanavyo-act faster kwenye usajili,
Labda mmehamishia nguvu kwa Jaoa FelixMi mwenyewe sijui nini kitaendelea kama Ni ETH kachomoa ama Liver wametupokonya. Tutajua baadae.
Arsenal tunanunua wachezajinkuja kuleta impact kuelekea malengo yetu sio kuongeza namba ya wachezaji...Unasemaje!!!?
Kwahiyo tulivyomsajili Ronaldo alikuwa siyo world class player?
Utafikiri Arsenal mna uwezo wa kushawishi world class players kuja kwenu. Timu yenu ina miaka mnanunua wachezaji wa mafungu.
Gakpo na Felix siyo world class players. Siyo wachezaji wa kusumbua vichwa kwenye kusajili.
Sio Kwamba Liverpool wamewapiga ?mbona kawaidaCody kama tungemtaka tungempata..it seems hakuwa tunachokihitaji.
Wote Felix na Gakpo sio Natural ST so ina make sense Gakpo sababu ya Bei. Unless Felix anakuja kwa mkopo mpaka dirisha la usajili tutafute ST wa maana.Labda mmehamishia nguvu kwa Jaoa Felix
Hizi propaganda tu Mkuu, Board ya Man U ni Avram Glazzer, Joel Glazzer, Kevin Glazzer, Bryan Glazzer, Gracie Glazzer, Edward GlazzerSio Kwamba Liverpool wamewapiga ?mbona kawaida
Kuna tetesi niliziona Grazzer family walizuiwa kuchukua dividend awamu hii na Bodi ya man u , pia kutokana na summer man u kutumia pesa nyingi, huenda January hii mkafanya loan deals zaidi , pia Kocha wenu kaahidiwa big investment summer atakapokuja mmiliki mpya .
CHIEF MKWAWA njoo toa details zaidi
Kumbe hawajazuiwa ,ila wao ndio wamejizuia[emoji1787][emoji1787]Hizi propaganda tu Mkuu, Board ya Man U ni Avram Glazzer, Joel Glazzer, Kevin Glazzer, Bryan Glazzer, Gracie Glazzer, Edward Glazzer
Jumla kuna Member 11 na 6 kati yao ni Glazzer, chochote wanachotaka wanapitisha hakuna wa kuwazuia.
Na hao wa tano waliobakia Arnold ni mmoja wao (wamwemuajiri wao).
So lugha nzuri Glazzer wameamua wasichukue Dividend.
Daaahhh hilo swali lako uliliuliza kule kwenye jukwaa la Liverpussy MosDef akakufahamisha tena kitaaluma zaidi kuhusu mambo ya fedhwa, akakupa mpaka vivid example ila umeamua kujizima data na kuja huku kuuliza tena swali lilelile.Kumbe hawajazuiwa ,ila wao ndio wamejizuia[emoji1787][emoji1787]
Hapana Lina utofauti kidogo, nilitaka nisikie mwandamizi CHIEF MKWAWA ana maoni gani ,Daaahhh hilo swali lako uliliuliza kule kwenye jukwaa la Liverpussy MosDef akakufahamisha tena kiutaaluma zaidi kuhusu mambo ya fedhwa, akakupa mpaka vivid example ila umeamua kujizima data na kuja huku kuuliza tena swali lilelile.
Ila kwa ule mpira mlioupiga jana dhidi Westham mpaka naona aibu kuja kuwafanyia fujo kwenye jukwaa lenu.
Labda kama board ina plan B ila huu ndio umekuwa utaratibu wetu kwenye soko la usajili.I like how Liverpool wanavyo-act faster kwenye usajili,
Hapana sisi tunamgombania mkeo.kwaiyo na nyie mnagombania top 4!!...