Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni world-class players lakini ama?
World class gani wewe, we world class unawajua?
Kama wangekua world class, Real Madrid wasingekubali kuwaachia.
Varane na Casemiro wote walishapoteza nafasi zao kwa vijana, na imeonekana project yao imeisha isha thus why wakafunguliwa mlango wa kuondoka.
 
Liverpool wako faster ku-make decision kusajili wachezaji tofauti na United.Luiz,Thiago walisajiliwa the same style
Ama hawaleak habari zao? Woodward alikuwa analeak kimakusudi transfers kugenerate clicks na interest.

Kusajili mchezaji si kitu kirahisi hivyo kina process ndefu, hapo washakutana na Agent wa mchezaji wiki kadhaa zilizopita, VVD tayari alikua anajua kwa Gakpo anakuja unafkiri alijuaje?
 

Nurse tena. So UTD hawakubid.

Ngoja tuone wana Mpango gani

Thats why most first target wanazikosa na many players wanakuwa overpriced .It was obvious world cup ni sehemu ya kutengeneza soko to some players na watakaofanya vizuri watagombaniwa na value zao zitapanda
You must ask faster kama unamtaka mchezaji
 
Thats why most first target wanazikosa na many players wanakuwa overpriced .It was obvious world cup ni sehemu ya kutengeneza soko to some players na watakaofanya vizuri watagombaniwa na value zao zitapanda
You must ask faster kama unamtaka mchezaji
Kuna Possibility kubwa Mkuu tulisha opt kutomsajili kama Huyo Nurse yupo sahihi.
 
Mi mwenyewe sijui nini kitaendelea kama Ni ETH kachomoa ama Liver wametupokonya. Tutajua baadae.
ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.
Haya tusubiri huyo striker mwenye high qualities!!!
 
Kumbe hata kwa wenzetu mambo ya ujanja ujanja (mambo ya asilimia 10) yapo.

Unatoa 80 kwa Antony afu Cody unashindwa kumchukua kwa 35-40!
 
ETH kasema anataka striker kama striker, swali langu wakati wanamfukuzia tangu last summer alikuwa anakuja kwa nafasi ipi??? Manake LW kuna watu wa kutosha.
Haya tusubiri huyo striker mwenye high qualities!!!
Joao Felix Ni striker au Forward?

Sokoni kwasasa hawa ma CF hawapo na waliopo Ni average ,inabidi uingie chimbo uchukue kinda au promising CF Kama walivyofanya Chelsea kwa Datro fofana,

Maana CF akiibuka tu akapiga hata goli 15 unauziwa €100m , mfano Nunez
 
Watu wahuni sana
[ATTACH
 

Attachments

  • IMG_20221227_111010.jpeg
    108.4 KB · Views: 16
  • IMG_20221227_111010.jpeg
    108.4 KB · Views: 17
Arsenal tunanunua wachezajinkuja kuleta impact kuelekea malengo yetu sio kuongeza namba ya wachezaji...
Manchesta bado mnajitafuta...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…