Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#MUAcademy U13 baller & Wayne Rooney’s son Kai Rooney with this incredible top bins finish


#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
Your browser is not able to display this video.
 
United are interested in Denzel Dumfries, but Inter are intent on keeping him. €40/45 million could lead to negotiations, but they want to make sure he stays.

#FabrizioRomano
#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
FIFA President Gianni Infantino ameishukuru sana Man United na kusema wachezaji wa United ndio wameing'arisha na kuinogesha zaidi michuano ya world cup mwaka huu, Infantino ameendelea kudai kuwa bila ya wachezaji wa Manchester hii michuano isingekua na tofauti yoyote na mashindano ya Ndondo cup.
 
Raisi wa ufaransa bwana Emanuel Macron ametuma ujumbe wa kuishukuru sana United kwa mchezaji wao Rafael Varane kuwavusha mpaka kufikia kwenye fainali za World Cup.

Club ya Manchester United inazidi kushine tu duniani.

Unaambiwa bodi nzima ya Fifa wamepanga kufanya kikao baada ya kumalizika kwa fainali za Wc ili kujadili uwezekano wa kuiingiza timu ya Man United ishiriki michuano ya Wc inayofata kama taifa huru.

Viva United
Viva 10 hag hakika umetuheshimisha.
 
Arsenal haijawahi kukosa mchezaji kwenye mechi ya fainali ya kombe la dunia kwa zaidi ya miaka 50.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…