Nimesema maeneo yaliokuwa changamoto kwetu yamekuwa improved dirisha lililopita.Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,
Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua
Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,
Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,
Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,
Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Wanaondoka hawa.Kweli wata achia timu hawa isije ikawa kama yale mambo wanamtoa boss huyu wanaingiza mshikaji wao Richard Arnold kwa wood.View attachment 2424649
Sinasikia munampango wa kumpa mkataba wa miaka mitatu?Cr7 mzee ni bora kuliko rashford, elanga, martial, antonty, Sancho kwa pamoja
Mkubali kuwa mmeshindwa kumtumia cr7
Cr7 ni tunu
Kijiji bila wazee ni kikundi cha wahuni
Nyie wapuuzi mjiandae kumtoa mbuzi mwingine wa kafala
Mmeacha mpira, mmekua washirikina washirikana tu
Binafsi kwa huyo jamaa nimejilamba.Hata na sisi tuna sema tunakupenda sana kama legendary wetu,bado tutaendelea kuwa timu CR7.
Lakini hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya club.View attachment 2424400
Luataro wa kawaida,,,,,Vlahovic.
Gapko.
Lautaro Martinez.
Sesko.
Osimhen.
Kane.
Ni muda sasa tuingie sokoni kutafuta goal machine wa kujaribu kukimbizana na watu kama Haalland..na sio tia maji tia maji..Hao hapo juu kuna anayeweza kufanya hiyo kazi??
We mbona kama sigara kali?Wamiliki wamemwachia jamaa Kwa Shingo upande Sana , Ila najua Wana hasira na kocha [emoji16] sa hv wanawaza tuu huyu msenge timu isipoingia top 4 , tunamfukuza
Ombeni nipige Ruby gram 21 niinunue hii club ili upuuzi wenyewe uishie mbali.Kuna karibia kukucha.View attachment 2424576
Kwa jina sawa ila ukiangalia dividends anayopata Glazzer na interest inayokwenda Bank, interest ni nyingi by far, Glazzer hajainunua Man U amekopa Bank na mpaka leo hajalipa deni lipo vile vile,Tunamilikiwa na Glazers.
Hiyo bank imeambiwa tafuta mteja wa either kuinunua club yote au sehemu ya umiliki.
Ndio mkuu nimeiona hio habari ndio nikaweka alama ya kuuliza.Na inavoonekana wanapendelea zaidi kama wataiuza wauze kwa wamerekani wenzao, tusishangilie sana.
Man U inamilikiwa na Bank?? Toka lini mkuu??Mimi hii habari bado sijaielewa, sasa hivi tunamilikiwa na Bank, sio kwamba tunahama tu bank moja kwenda nyengine? Kama wanataka kuuza ila kwa watu fulani tu na si mtu yoyote.
Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?Kwa jina sawa ila ukiangalia dividends anayopata Glazzer na interest inayokwenda Bank, interest ni nyingi by far, Glazzer hajainunua Man U amekopa Bank na mpaka leo hajalipa deni lipo vile vile,
So yoyote anaeinunua UTD anarithi hilo deni la Bank mpaka lilipwe itaendelea Bank kuchota mpunga mwingi zaidi. Ndio maana unaona utd hainunuliki kirahisi.
As i said. Striking is no 1 priority right now or should be a top priority.Mpira haupo hivo, nowdays ufungaji wa magoli Ni mgawanyo wa wote had Viungo,
Chelsea walikuwa wanasema wanakosa CF tu ili wabebe epl na wawe timu yakuogopwa ,wakaenda sokon wakatoa £100m kwa Lukaku, kilichotokea unakijua
Unaweza kumleta Halland hapo man u akawa mzururaji tu ,
Nowdays hauhitaji CF ili ufunge magoli, Pep na Klopp miaka mitatu hii walikuwa wanagonga 100 goals bila hao CF,
Arsenal ya Sasa haina typical no.9 ,Lakini inafunga magoli for fun,
Unaweza kwenda sokon ukamleta CF akaja akawa mzururaji, hata Halland ukimuangalia bila kuwekewa mfumo sahihi anakuwa mzururaji, Kuna mechi anagusa mpira mara 7, 8
Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?
Hata ukiliuza, wahakikishie wanaokudai hela yao itarudi, hata kutokana na proceeds za mauzo ya hiyo mali. Man utd itauzwa, bank watachukua chao, the rest kinaenda kwa glazers.
Man Utd ni the best deal. Watu wana mpunga wa kuinunua. Elon anatoa $44bn kununua twitter watu washindwe toa $10bn kununua Man Utd? Timu inanunulika, Saudia wanatoa hata $20bn, haiwaumizi kichwa.
Glazzer wanamiliki ndio ila Glazzer wamekopa na Deni halijalipwa, niwakumbushe tu Toka Glazzer anunue United riba iliolipwa ni zaidi ya £1B, tunalipa hela nyingi bank kuliko tunazotumia kusajili na ku improve vitu vingine kama Uwanja.Man U inamilikiwa na Bank?? Toka lini mkuu??
Sio Glazzer Family ndio wamiliki toka 2005?
Ukikopa benki ukaenda kununua gari hilo gari litakuwa la nani?
Hata ukiliuza, wahakikishie wanaokudai hela yao itarudi, hata kutokana na proceeds za mauzo ya hiyo mali. Man utd itauzwa, bank watachukua chao, the rest kinaenda kwa glazers.
Man Utd ni the best deal. Watu wana mpunga wa kuinunua. Elon anatoa $44bn kununua twitter watu washindwe toa $10bn kununua Man Utd? Timu inanunulika, Saudia wanatoa hata $20bn, haiwaumizi kichwa.
Burnley Mkuu, come on .... Burnley ni kama duka lililo DSM na man UTD ni duka lililo Dubai....Timu za Mpira ni tofauti na kampuni mkuu.
£300M hicho ndio kiasi Saudi wamelipa kununua Newcastle, wamespend kama $200M tayari sasa hivi wapo juu ya Man U,
City imenunuliwa kwa pesa kidogo na mmiliki ame invest kama $1B to $2B Thamani ya City na UTD haina utofauti.
Why mtu atoe $5B ama $6B kununua United na Madeni yake wakati anaweza nunua Burnley aka invest nusu ya hio hela na ikawa kubwa?
Mtu anaenunua UTD ni furaha yake tu, otherwise ndio kama wanavyofanya Glazer kuinyonya timu mpaka tone la mwisho.
Huyo cku hz amekuwa na mihemko sn ktk uandishi wake tofauti na mwanzo.Wewe ni wakala wake au mke wake, mpaka uwe na taarifa za uhakika juu ya uhamisho wake?
Mimi sijui ataenda team gani, ndiomaana sijataka kulizungumzia.
He is less finished, compared to your club.
Kwani mkuu miaka 15 ama 20 iliopita Man city si alikuwa anacheza Championship?Bunle
Burnley Mkuu, come on .... Burnley ni kama duka lililo DSM na man UTD ni duka lililo Dubai....
Nani akiwekeza atarudisha haraka zaidi??