Ronaldo ainamishe kichwa tu
Mbappe kapambana sana na Messi
ila Messi alikaa kimya tu
Ila kwa alipofikia ronaldo hakuna timu kubwa yoyote itakayomkubali ulaya
Ronaldo tangu zamani ni mjivuni lakini uwanjani alikuwa anaonesha sana hivyo hakuna aliyekuwa anajali
Kwanza case ya cr7 na lapulga ni tofauti
Upande wa messi
Yule jamaa ni zaidi ya mchezaji,
Yupo cool
Hana maneno kabisa, wachezaj wenzake pale barca walikua wanaongea hili
Ata yeye asipo funga atashangila na wenzake, fresh kabisa
Lakini sio cr7, too much ego
Messi anampita mbali sana cr7
Kuanzia kiuchezaji hadi ku-social na watu,
Ule ubishi wa kijinga, messi na cr7 nani ni zaidi
Ulisha kitambo tu
Na hivi sasa cr7 ndio kapigia kabisa mstari, kuwa messi ni sayari nyingi
Messi na cr7 katika ubora wao
Unapewa nafasi moja ya usajiri, wewe unamchukua nani hapo? Jibu baki nalo
Mbape anamletea kiburi goat
Neymar akaununua ugomvi, muda wote messi yupo cool like nothing happen
Juzi katika mbape akaanza kulalamika hana Furaha pale PSG
The real definition of greatest of all time ni MESSI