Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

After De Gea was told he wouldn't be called up to the Spain squad, he received a message from the president of the Federation, who said ‘David I am glad that you have finally made the decision you have been thinking about [to retire].

De Gea replied: 'Sorry? There is no renunciation of anything, who has told you that I renounce anything? The coach has told me that he is not going to count on me, but I have never renounced the national team, nor do I intend to do so, that is if I am called up'

[JoseAlvarez]
#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
 
Ronaldo ainamishe kichwa tu
Mbappe kapambana sana na Messi
ila Messi alikaa kimya tu

Ila kwa alipofikia ronaldo hakuna timu kubwa yoyote itakayomkubali ulaya

Ronaldo tangu zamani ni mjivuni lakini uwanjani alikuwa anaonesha sana hivyo hakuna aliyekuwa anajali
 
Ronaldo ainamishe kichwa tu
Mbappe kapambana sana na Messi
ila Messi alikaa kimya tu

Ila kwa alipofikia ronaldo hakuna timu kubwa yoyote itakayomkubali ulaya

Ronaldo tangu zamani ni mjivuni lakini uwanjani alikuwa anaonesha sana hivyo hakuna aliyekuwa anajali
Kwanza case ya cr7 na lapulga ni tofauti

Upande wa messi
Yule jamaa ni zaidi ya mchezaji,
Yupo cool
Hana maneno kabisa, wachezaj wenzake pale barca walikua wanaongea hili

Ata yeye asipo funga atashangila na wenzake, fresh kabisa
Lakini sio cr7, too much ego

Messi anampita mbali sana cr7
Kuanzia kiuchezaji hadi ku-social na watu,

Ule ubishi wa kijinga, messi na cr7 nani ni zaidi
Ulisha kitambo tu
Na hivi sasa cr7 ndio kapigia kabisa mstari, kuwa messi ni sayari nyingi

Messi na cr7 katika ubora wao
Unapewa nafasi moja ya usajiri, wewe unamchukua nani hapo? Jibu baki nalo

Mbape anamletea kiburi goat
Neymar akaununua ugomvi, muda wote messi yupo cool like nothing happen
Juzi katika mbape akaanza kulalamika hana Furaha pale PSG

The real definition of greatest of all time ni MESSI
 
Manchester United statement on the Cristiano Ronaldo situation

“Manchester United has this morning initiated appropriate steps in response to Cristiano Ronaldo’s recent media interview.
We will not be making further comment until this process reaches its conclusion”.
 
Mwisho wa zama?
mahusiano yake na manchester united yanamalizika kwa nafsi yenye machukizo.
ni kama vile naiona sura yake ya utotoni ikinijia mbele yangu.

siku yake ya kwanza akiwa amevalia jezi namba 7 ndani ya old trafford dhidi ya bolton wanderers mwaka 2003.
wakati huo nimekaa kibanda umiza namuangalia kwa mara yangu ya kwanza.
nimesikitishwa sana
 
  1. majivuno juu ya mafanikio yako yawe na kiasi (be humble)
  2. hakupaswa kuonyesha utofauti wake dhidi ya mwalimu mbele ya hadhira hata kama hakupi heshima inayostahili
  3. hakupaswa kuonyesha madhaifu ya klabu inayomlipa mshahara mbele ya hadhira, ishu za uchakavu wa miundombini, sera mbovu za uendeshwaji wa klabu zinafahamika
  4. kwa mchezaji aina yake alikuwa na uwezo wa kuziwasilisha changamoto zote mbele ya watu mashuhuri pale klabuni bila ya media kufahamu
  5. kiuhalisia hakuna baya alilolizungumza juu ya klabu, ila njia alioitumia kuwasilisha mabaya hayo ndio kosefu.
  6. si kila anayepingana naye ana wivu dhidi yake kwa sababu ya mafanikio aliojaaliwa pamoja na mvuto wa sura yake,
  7. hakupaswa kuwajibu wapinzani wake huku akiwaonyesha jinsi alivyowazidi kimaumbile ya sura yenye mvuto na mafanikio yake binafsi
  8. Nampenda sana cristiano ronaldo kwa sababu ni mchezaji niliyeshuhudia ukuwaji wake pamoja na wayne rooney wa everton.
  9. naipenda sana manchester united ndio klabu kubwa ya kwanza kuiona kwenye televisheni
  10. tumeishi miaka 12 bila ya ronaldo, tutaishi miaka 100 bila ya ronaldo
  11. cha umuhimu putin asigonge nucleur
 
Erik ten Hag dropped Garnacho during pre-season for turning up late to team meetings twice.
According to MEN, there's been "a real change in attitude" from Garnacho.
He's now among the first to arrive Carrington for training, and Man Utd are happy with him.
 
The Glazers, John Murtough, Richard Arnold and Erik ten Hag have decided that Cristiano Ronaldo has burnt his bridges at the club, and there is no way back for him.

Cristiano Ronaldo’s teammates also expect him to leave.

[Daily Mail]
#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
 
#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221118_195016_152.jpg
 
#mufc have taken the first legal steps towards sacking Cristiano Ronaldo, by effectively ending his contract without paying any of the £16 million he would get if he stayed until June.

#mufc’s lawyers are satisfied that Cristiano Ronaldo has breached the terms of his contract, with some of the comments in his interview.

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221118_195028_112.jpg
 
Back
Top Bottom