Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Hawezi kwenda pengine tofauti na Madrid !Hizi tetesi za Mbappe kuziba pengo la CR7 ni mimi peke yangu nimeziona?
Kheri tumalize msimu bila mshambuliaji ili kocha atulie atafute mtu wa kueleweka. Huyu dogo na Ronaldo hamna tofauti kabisa, wote ni watu wenye personality za hovyo. Ana kipaji kikubwa sana ila si aina mtu unayemhitaji ktk dressing room.Hizi tetesi za Mbappe kuziba pengo la CR7 ni mimi peke yangu nimeziona?
Halafu hili la kutoa hiyo mural wala haihusiani na ukiazi wa Ronaldo. Kuna fainali ya mchezo wa raga wa wanawake tarehe 19 Nov hapo OT ndiyo maana wanatoa. Mpango wa kutoa ulikuwepo hata kabla ya hili la Ronaldo.
Kutukana watu wenye mtazamo tofauti na wako ni dalili ya kukosa busara na hekima tu.Huyu Rashford ni mchezaji mmoja mpumbavu sana, na anayemtetea huenda naye ni mpumbavu.
Kwa intensity ya mechi ilivyokuwa muda huo alioingia dogo ulikuwa sahihi kabisa ila siyo kuanza.Huyu mtoto unayesema si level yake umemuona? Umeona goli hilo Dejan7?
Garnacho alipaswa kuwepo toka dakika ya kwanza.
Kwa kasi waliyokuja nayo kuna uwezekano mkubwa sana Newcastle kumaliza ligi nafasi ya pili kama si ya kwanza.Cheki NewcastleView attachment 2418888
Point of correctionKwa kasi waliyokuja nayo kuna uwezekano mkubwa sana Newcastle kumaliza ligi nafasi ya pili kama si ya kwanza.
Na msimu unaofata hawa jamaa watakua wanapambania kuchukua kombe sio kupambania top 4.
Tusubirie basi hiyo mural irudishwe..Halafu hili la kutoa hiyo mural wala haihusiani na ukiazi wa Ronaldo. Kuna fainali ya mchezo wa raga wa wanawake tarehe 19 Nov hapo OT ndiyo maana wanatoa. Mpango wa kutoa ulikuwepo hata kabla ya hili la Ronaldo.
Kaongea mengine mengi yenye ukweli ,Kwamba cr7 anaona dalot, Casemiro na licha ndo wachezaji pekee wazuri pale utd?,,,,, kamtosa mreno mwenzie Bruno ? Mshikaji wake varane ?
Mara eti rooney alimwaalika cristianoJr akacheze na wanae mwamba akashangaa Sana, kwamba Rooney anataka attention/headlines kwenye media !!!!
Hakuna ubishi jamaa amekuwa na incredible career, with lots of records titles etc,,,, ila anajimaliza mwenyewe, anaimaliza career yake vibaya ! Sidhani Kama Kuna timu yoyote ya ulaya itamuhitaji January, may be aende uarabuni, au marekani, china walishaacha kumwaga hela hovyo hovyo !
Kwan ukitoa picha yake itabadilisha chochote kuhusu records alizoziwekaga hapo OT? Wazungu nao kumbe wakat mwingine wako Na tabia za kizaramo.The end of cr7 as a legend at OT.View attachment 2418859
To be honest Manchester United siyo timu ya hadhi ya kucheza WC players kama Christiano Ronaldo , nafkr hata yeye atakuwa anajuta Sana kurudi hapo ndondo club , na ndo mana amemlaumu moja Kwa moja Fergie kumwingiza Choo cha kike 😁😁Kwamba cr7 anaona dalot, Casemiro na licha ndo wachezaji pekee wazuri pale utd?,,,,, kamtosa mreno mwenzie Bruno ? Mshikaji wake varane ?
Mara eti rooney alimwaalika cristianoJr akacheze na wanae mwamba akashangaa Sana, kwamba Rooney anataka attention/headlines kwenye media !!!!
Hakuna ubishi jamaa amekuwa na incredible career, with lots of records titles etc,,,, ila anajimaliza mwenyewe, anaimaliza career yake vibaya ! Sidhani Kama Kuna timu yoyote ya ulaya itamuhitaji January, may be aende uarabuni, au marekani, china walishaacha kumwaga hela hovyo hovyo !