Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndugu zangau Manchester japokuwa humu ni sehemu ya michezo basi sitokaa nyuma kupeana fursa kwjil ya kujikimu na maisha me nafanya financial market ambayo inahusisha forex,custom,index,stock na crypto lakin katka hpo me nafanya pair mbili index na crypto sio kuw nmesomea hapana mabrokers ambao wanatulink Ili tuingio sokon kupitia wao wamekuja na njia mpya ya kutoa signal kw kukata serviy harge ndo faida yke yeye anapoipata Yan unapewa muda wa kuingia na kutoka unaambiwa ubuy au usell ni biashara ambayo inafaida San na kw haraka saan unabadilisha maisha yko kulingana na mzunguko wake kw mawasiliano zaid contact 0782912118 usipuuze nitafute utaelewa zaida na Kila kitu kipo wasi kuhusu uhalali mikataba broker kusajilia underlinces usalama wa pesa Yako na biashara yko utaona hakuna maana ya kuifadh pesa bank
 
Acha mambo yako hamna kitu kama hicho.
 
Maisha sio rahisi hivi.
 
Hizi ndyo kazi za manyumbu waja laana
 
Tatizo wabongo Kila kitu tunajifanya alafu tunajua ambaye Yuko teyar kujifany ajui na kupokea maarifa ndiye atakuw mjanja ujanja sio kujifany unajua kile ambacho ujui
 
Maisha sio rahisi hivi.
Ndy maisha sio rahis huku ufany biashara bure na hasara zipo lkn sio risk San tofaut na biashara nyingine miaka kumi10 ijayo nd utapata elimu hii alafu utasema ulikuwa wap hpo ndipo utanikumbuka mm lkn sijaandika mahali ambaopo namlazimisha mtu ila kama mtu ataona tija atanitafuta
 
Umemvuruga sana jamaa ujue
Weng wao Kam nyny mmerukupukia forex bila kuw na proper education mmechoma account zenu mnaona uwongo Sasa kitu ambacho ujui FX Yako ya kizamani unafanya na una knowledge wewe wa kuanalaysis soko mwenyewe ila utakuja kuamin ukinitafuta na ukiona account yngu na miamala ambayo nafany
 
Angalia my capital hapo sio tu tunaongea watu tunaweka pesa sio maneno meng alafu ingia unapopajua wewe umuangalie hyo broker ni regulated au sio kama hujia nakusaidia ingia wikifx hao wanatoa information zote za mabrokers
 
Arsenal hatuna shabiki wa hivo, Huyo ni tapeli anatafuta wafuasi humu,kuweni makin

Kama Forex ina hela kwanini asiwashauri ndugu zake na ukoo wake watajirike ,ana upendo gani Hadi aje awape dili humu
 
Tume concede goli ngp chifuu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…