Manchester United (Red Devils) | Special Thread

[emoji23][emoji23] sipendi uongo niko nafanya hizi mambo mwaka wa 3 huu. Hakuna mtu anaweza kufanya hivo ni waongo wanataka kuibia watu tu.
Umemvuruga sana jamaa ujue[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Maisha sio rahisi hivi.
Ndy maisha sio rahis huku ufany biashara bure na hasara zipo lkn sio risk San tofaut na biashara nyingine miaka kumi10 ijayo nd utapata elimu hii alafu utasema ulikuwa wap hpo ndipo utanikumbuka mm lkn sijaandika mahali ambaopo namlazimisha mtu ila kama mtu ataona tija atanitafuta
 
Umemvuruga sana jamaa ujue[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Weng wao Kam nyny mmerukupukia forex bila kuw na proper education mmechoma account zenu mnaona uwongo Sasa kitu ambacho ujui FX Yako ya kizamani unafanya na una knowledge wewe wa kuanalaysis soko mwenyewe ila utakuja kuamin ukinitafuta na ukiona account yngu na miamala ambayo nafany
 
Angalia my capital hapo sio tu tunaongea watu tunaweka pesa sio maneno meng alafu ingia unapopajua wewe umuangalie hyo broker ni regulated au sio kama hujia nakusaidia ingia wikifx hao wanatoa information zote za mabrokers
 
Arsenal hatuna shabiki wa hivo, Huyo ni tapeli anatafuta wafuasi humu,kuweni makin

Kama Forex ina hela kwanini asiwashauri ndugu zake na ukoo wake watajirike ,ana upendo gani Hadi aje awape dili humu
 
Tume concede goli ngp chifuu???
 
Tatizo wabongo Kila kitu tunajifanya alafu tunajua ambaye Yuko teyar kujifany ajui na kupokea maarifa ndiye atakuw mjanja ujanja sio kujifany unajua kile ambacho ujui
Huko ughaibuni kampuni kibao za crypto zimefilisika, bitcoin imeshuka toka milioni 150 mpaka 40, faida gani ambayo ipo kwenye crypto? watu wanauza machine zao za kuchimbia crypto sababu hailipi.
 
Huko ughaibuni kampuni kibao za crypto zimefilisika, bitcoin imeshuka toka milioni 150 mpaka 40, faida gani ambayo ipo kwenye crypto? watu wanauza machine zao za kuchimbia crypto sababu hailipi.
Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
 
Arsenal hatuna shabiki wa hivo, Huyo ni tapeli anatafuta wafuasi humu,kuweni makin

Kama Forex ina hela kwanini asiwashauri ndugu zake na ukoo wake watajirike ,ana upendo gani Hadi aje awape dili humu
Hii issue nayofany hakuna ndugu yang niliyemuacha nyuma na mm ukiacha licha upendo ww unapotrade na mm unanipa commission ndomana me natangaza tu
 
Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
crypto inajulikana, Eci na EWD ni nini?
 
Huko ughaibuni kampuni kibao za crypto zimefilisika, bitcoin imeshuka toka milioni 150 mpaka 40, faida gani ambayo ipo kwenye crypto? watu wanauza machine zao za kuchimbia crypto sababu hailipi.
Unazungumziaje performance ya mactominay jn??
 
Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
Nafasi anayopewa garnacho kwann prllistri hapewi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…