Rashford ana makosa mengi sana ya kiufundi.Mkuu wengine mashabiki maandazi wanachojua timu ishinde kila cku
Cku ikipoteza km leo kila mchezaji hovyo
Imagine hao wote wawili Martial na Rashford waanze, maana ake unakuwa na upungufu wa wachezaji wawili ndani.Me niliwaambia jamani! Man U bado sana, bila ya usajili wa kutosha! TUSIDANGANYIKE
martial so mchezaji
Rashford so mchezaji
Ronaldo kachoka (I respect and appreciate him)
Hayo makosa huwa anayafanya kwa kurudia rudia, yeye na magwayasijui kocha alikula nini leo, kwanza mimi sikutegemea VDB kuanza. Kocha amekuwa na maamuzi mabaya sana leo.
Kingine ni pengo la Varane, Lindelof anakaba kwa macho,goli la tatu limeniuma sana, anamsindikiza mshambuliaji hadi anatoa pasi kama mpumbavu.
Umri umeshamtupa mikono maskini CR 7, astaafu kwa heshima tu kama beki Jerrad PickyTupunguze mahaba jamani, hv Ronaldo Kuna kitu kakifanya zaidi ya faulo anazo fanya baada ya kubanwa
Chelsea 0-1 Arsenal Full TimeKubwa jinga letu la wikiiiiiiiiiiiiii
Ni Nyumbu Fc
Bora hata Chelsea wamecheza mpira wa kiume ila nyumbu walikua wanaonyesha unyumbu wao kwa dakika zote 95.Chelsea 0-1 Arsenal Full Time
Aston Villa 3 - 1 Manchester United Full Time
Mdau mwenzangu vipi hali yako?
Bora hata Chelsea wamecheza mpira wa kiume ila nyumbu walikua wanaonyesha unyumbu wao kwa dakika zote 95.
Good Ebening.Kubwa jinga letu la wikiiiiiiiiiiiiii
Ni Nyumbu Fc
Wewe ndio yule ARV wa zamani?NYINGI SANA..SIJUI KWA NINI WATU HUWA HAWAONI JUHUDI NA UPAMBANAJI WA RASHFORD.
Bora hata nyie kenge mlikua mnatingisha tingisha mikia ila sisi Manyumbu aiseeee tumerudi kwenye default mode.Good ebening nyumbu FC
Amin kwamba.. kocha msen kwl sio kdgKuna mstari mwembamba sana kumtofautisha OGS na ENT bora sosha uyu Ten hag mseng..e tu na yeye atoke tu
Martial +Rashford upfront>>>>>Ronaldo +Rashford.Imagine hao wote wawili Martial na Rashford waanze, maana ake unakuwa na upungufu wa wachezaji wawili ndani.