Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu haija improve chochote upande wa kufungua defence line za wapinzan wetu.. since kina mourinnho mpk saiv ten hag tunasafa sn kuzifunga timu zenye defence mentality..
Mbele hakuna ubunifu pasi inatoka kushoto inapelekwa kati inaenda kulia then inarudishwa kwa kipa
 
Ni process mpaka kufikia viwango vya juu ila kusema timu haija-improve chochote ni uongo labda useme tu timu haina consistency kiuchezaji ila jambo la muhimu kabisa tunapata matokeo mazuri hivi karibuni.

Defensively tunajitahidi angalau tunaweza kulinda goli. Kwa Ten Hag tunaona mwanga maana wachezaji aliowaleta wote wamekuwa msaada mkubwa kwetu msimu huu. Uvumilivu unahitajika sana.
 
Anataka zimamoto hajui Ni process had timu ianze kucheza kwa kuelewana

Mpira wa bongo umetuharibu Sana,

Mfano Yanga walitakiwa wawekeze Tena kwa kuondoa takataka ,then Baada ya misimu miwili wangecheza hata makund CAF,


Sasa kwakuwa soka la Africa halina project tumezoea kutaka zimamoto ,Basi tunataka na ulaya hivo hivo kitu ambacho sikweli

Kwa Ten hag Kuna mabadiliko Tena hasa defense , hatua kwa hatua atafikia had ushambuliaji .
 
Umeongea point kubwa kuanzia ulaya mpk bongo.
 
Donny van de Beek: “I’m happy to be back and have to stay fit for a longer time and try to help Man United”.
#MUFC

“I feel great, I feel good and what I’m saying is I just need to keep going and, if chances come, I have to take them”.

#GlazerOUT
#GGMU


manutd
 
mara ya mwisho kufungwa goli kwa open play ilikuwa dhidi ya everton.
chelsea walitufunga goli kwa njia ya penalty

everton 1 - man utd 2
man utd 1 - omonia 0
man utd 0 - newcastle 0
man utd 2 - tottenham 0
chelsea 1 - man utd 1
man utd 3 - sheriff 0
man utd 1 - west ham 0
real sociedad 0 - man utd 1
 
Rafiki yako AWB umempiga kipapai yupo tu benchi pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…