Ten Hag kuhusu Eriksen/Fernandes: "Bruno Fernandes anapata msaada. Yeye [Bruno Fernandes] anauwezo wa kupiga pasi ya mwisho na kupokea pia pasi za mwisho. Wameendana vizuri kabisa."
Hiyo tabia hajaianza leo, kaianza tangu akiwa Ajax. Sijaona ubaya wake leo, pasi zilikuwa zinafika na alijiamini vizuri licha ya kuwa ni game yake ya kwanza.