Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unadhani kocha anafurahia kumpanga Elanga? Hakuna anayejivunia kuwa na kikosi kama kile ila ndiyo wachezaji tulionao. Acheze nani sasa?
Mara Mia acheze Gernacho kuliko elanga.

Timu yetu kuna baadhi ya wachezaji ni very very average hawastahili kuchezea hata Norwich. MTU kama Elenga anarukaruka tu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
June 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.

1.Rashford

2.Phil Jones

3.Fred

4.Ronaldo

5.Shaw

6.Diogo Dalot

7.Tom Heaton

8.De Gea

And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.

How about you?
 
Fred bado ana Kitu mguuni,,,, !!! Ni box to box mzuri,,, tatzo watu wanaomzunguka wanamuangusha anaonekana kiazi !!!!!

Muangalie akiwa timu ya Brazil utaona potential yake,,, ! Alafu Ni aina flani ya mchezaji ambaye anapambana mpk tone la mwisho,,,,

Hana record za majeruhi,,,,, sio mbaya akawa squad player !!
 
Timu nzima ya nyumbu INA magoli sawa na mitrovic peke ake si maajabu haya!!
 
Hata mie degea naona anastahili kubaki pia na babu Ronaldo kwa mkataba wa mwaka mmoja mbele.
 

Fred anaweza kubakishwa kama squad player bado ana vitu vyake.
 
Ongeza elanga humo fukuzia mbali

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Fred ni mzuri mkuu sema sisi ndo tuna mchezesha namba ambayo sio yake.
 
Skizeni nyie takataka ..mumeona usajili tulofanya? Nani ayiogopi Chelsea hahahaha nacheka uku naogopa ..maana tunaenda kumwaga damu EPL ..hahaha aise mutupe kombe letu tu Yani 😂😂😂
 
Team ya taifa ya Brazil umeiangalia mechi ngapi?
 
Ya kweli haya?
Yanaingia akilini?

--------
Mathias reveals his brother Paul Pogba buried a hyena in the center of Old Trafford weeks before leaving, Martial witnessed it and immediately got injured. Investigations continue.
[ @CNews ]
Tutasikia mengi sana
 
Uamuzi upo mikononi mwake, achague kubadilika au kuendelea na tabia yake ya kiuchezaji alionayo, hata akipewa mkataba mpya bila ya shaka utakuwa na punguzo la mshahara.

Changamoto ya David ni kukosa kwake kujiamini, kuna nyakati jana alijaribu kuanzisha mpira kwa eriksen bila ya presha mpaka nikawa nashangaa na alifanya hivyo takribani mara tano.

Zilizobakia zote alikuwa anaangua nazi kwa goal kick.

Binafsi nalisubiria pambano kati ya ten hag dhidi ya bodi ya klabu na refereee wakiwa ni wachezaji.

Mmoja wapo ni huyo de gea na mkataba mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…