King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,314
- 5,988
Hata mie degea naona anastahili kubaki pia na babu Ronaldo kwa mkataba wa mwaka mmoja mbele.June 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.
1.Rashford
2.Phil Jones
3.Fred
4.Ronaldo
5.Shaw
6.Diogo Dalot
7.Tom Heaton
8.De Gea
And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.
How about you?
June 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.
1.Rashford
2.Phil Jones
3.Fred
4.Ronaldo
5.Shaw
6.Diogo Dalot
7.Tom Heaton
8.De Gea
And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.
How about you?
Ongeza elanga humo fukuzia mbaliJune 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.
1.Rashford
2.Phil Jones
3.Fred
4.Ronaldo
5.Shaw
6.Diogo Dalot
7.Tom Heaton
8.De Gea
And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.
How about you?
Fred ni mzuri mkuu sema sisi ndo tuna mchezesha namba ambayo sio yake.June 2023 wachezaji wafuatao watakuwa out of contract.
1.Rashford
2.Phil Jones
3.Fred
4.Ronaldo
5.Shaw
6.Diogo Dalot
7.Tom Heaton
8.De Gea
And to be honest mimi nitambakisha tu De Gea tena kuwa golikipa namba mbili na kwa mshahara wa chini..wengine wote ningefagilia mbali.
How about you?
Ollachuga oc baada ya mechi na west ham jumamosi.Skizeni nyie takataka ..mumeona usajili tulofanya? Nani ayiogopi Chelsea hahahaha nacheka uku naogopa ..maana tunaenda kumwaga damu EPL ..hahaha aise mutupe kombe letu tu Yani [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeongea kama mwigulu nchembaHamuamini macho yenu kwamba utd imerudi, mm nilipoona mechi za kwanza kwanza tumefungwa nikaona tu huu ni mwanzo mzuri kwa kocha mpya.
Team ya taifa ya Brazil umeiangalia mechi ngapi?Fred bado ana Kitu mguuni,,,, !!! Ni box to box mzuri,,, tatzo watu wanaomzunguka wanamuangusha anaonekana kiazi !!!!!
Muangalie akiwa timu ya Brazil utaona potential yake,,, ! Alafu Ni aina flani ya mchezaji ambaye anapambana mpk tone la mwisho,,,,
Hana record za majeruhi,,,,, sio mbaya akawa squad player !!
Koulibaliy Anavyoshika watu[emoji16]Skizeni nyie takataka ..mumeona usajili tulofanya? Nani ayiogopi Chelsea hahahaha nacheka uku naogopa ..maana tunaenda kumwaga damu EPL ..hahaha aise mutupe kombe letu tu Yani [emoji23][emoji23][emoji23]
Tutasikia mengi sanaYa kweli haya?
Yanaingia akilini?
--------
Mathias reveals his brother Paul Pogba buried a hyena in the center of Old Trafford weeks before leaving, Martial witnessed it and immediately got injured. Investigations continue.
[ @CNews ]
Hahaaha tunaRESTORE FACTORY kila kitu wallahArsenal wanapaswa kupigwa kuanzia 3 kuendelea. Wameanza msimu kwa vibonde wanajiona wameshabeba EPL.
Jumapili tunawarudisha kwenye default settings.
nenda google andika LIVEKOORA ONLINEMaan Hesgoal hakuna mechi
Uamuzi upo mikononi mwake, achague kubadilika au kuendelea na tabia yake ya kiuchezaji alionayo, hata akipewa mkataba mpya bila ya shaka utakuwa na punguzo la mshahara.8.De Gea
Jimmie Vardy haamimi kama kavamia mtumbwi wa vimbwengo kwa mbeleMartinez ni mfupi sana, hafai kua beki wa kati maana mipira ya juu hawezi kuizuia.
Huyo Martinez mwenyewe sasaView attachment 2343032
Atapewa kandarasi mpya kwa dhumuni la kulinda thamani yake, kuhusu kiwango chake bado hakiridhishi japokuwa mechi ya liverpool aliamka vizuri.1.Rashford
Bodi inataka kumuondoa kwa heshima ndio maana haijishughulishi sana na kuondoka kwake.2.Phil Jones
Maamuzi yapo kwa malacia na alvaro fernandez aliyetolewa kwa mkopo.5.Shaw
Atapewa mkataba mpya lakini ataongezwa mlinzi mwengine wa kulia.6.Diogo Dalot
Hatopewa mkataba mpya7.Tom Heaton