J Joh Doe JF-Expert Member Joined Sep 23, 2019 Posts 1,225 Reaction score 4,822 Aug 31, 2022 #174,041 Darmian said: Unfortunately naskia tunamtaka Dest.. Click to expand... Huyu dogo ni average tu. Sioni utofauti wake na Dalot. Kama kweli tunataka upgrade upande ule ndani ya huu muda mfupi ni Vanderson tu.
Darmian said: Unfortunately naskia tunamtaka Dest.. Click to expand... Huyu dogo ni average tu. Sioni utofauti wake na Dalot. Kama kweli tunataka upgrade upande ule ndani ya huu muda mfupi ni Vanderson tu.
The best 007 JF-Expert Member Joined Oct 6, 2019 Posts 42,480 Reaction score 98,527 Aug 31, 2022 #174,042 Daemushin said: Hiyo post nimeiweka kiutani. Huyo gaitan nyakati za ferguson tulivumishiwa sana ya kwamba tunamtaka. Dirisha la usajili likifunguliwa tu na habari zake zilikuwa zinavumishwa. Click to expand... Nilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye.
Daemushin said: Hiyo post nimeiweka kiutani. Huyo gaitan nyakati za ferguson tulivumishiwa sana ya kwamba tunamtaka. Dirisha la usajili likifunguliwa tu na habari zake zilikuwa zinavumishwa. Click to expand... Nilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye.
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Aug 31, 2022 #174,043 The best 007 said: Nilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye. Click to expand... Ni yeyeeee
The best 007 said: Nilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye. Click to expand... Ni yeyeeee
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,582 Reaction score 19,226 Aug 31, 2022 #174,044 Mbabani said: Tukishinda kesho tunaingia top 5, na tukishinda jumapili tunaingia top 4. Eras come to an end. Click to expand... Wewe fala ebu amka acha kuota
Mbabani said: Tukishinda kesho tunaingia top 5, na tukishinda jumapili tunaingia top 4. Eras come to an end. Click to expand... Wewe fala ebu amka acha kuota
Mbabani JF-Expert Member Joined Jun 20, 2022 Posts 2,368 Reaction score 6,717 Aug 31, 2022 #174,045 mkorea said: Wewe fala ebu amka acha kuota Click to expand... Tatizo nini kwani? Eras come to an end.
mkorea said: Wewe fala ebu amka acha kuota Click to expand... Tatizo nini kwani? Eras come to an end.
Herzog JF-Expert Member Joined Jul 26, 2022 Posts 4,129 Reaction score 4,859 Aug 31, 2022 #174,046 Mbabani said: Tukishinda kesho tunaingia top 5, na tukishinda jumapili tunaingia top 4. Eras come to an end. Click to expand... Alisikika kichaa mmoja
Mbabani said: Tukishinda kesho tunaingia top 5, na tukishinda jumapili tunaingia top 4. Eras come to an end. Click to expand... Alisikika kichaa mmoja
Kanungila Karim JF-Expert Member Joined Apr 29, 2016 Posts 20,746 Reaction score 25,638 Aug 31, 2022 #174,047 The best 007 said: Nilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye. Click to expand... Ni yeye tu, jamaa ana miaka 34 now
The best 007 said: Nilitaka kuuliza huyu Gaitan ndio yule mwenyewe au mwanaye. Click to expand... Ni yeye tu, jamaa ana miaka 34 now
kitalembwa JF-Expert Member Joined Jul 12, 2014 Posts 6,147 Reaction score 15,770 Aug 31, 2022 #174,048 James to Everton,,, 15m + adds on Buy back clause Not bad!!!!
Capital G JF-Expert Member Joined Jul 2, 2017 Posts 3,445 Reaction score 5,352 Aug 31, 2022 #174,049 Daemushin said: James Garner close to moving to Everton in a deal that could rise to £15m including add-ons. Still work to do to complete but 21-year-old midfielder set to depart Manchester United. ---------- Ingelikuwa liverpool au manchester city wangelipata paundi milllioni 20 kwenda juu Click to expand... Kuna ads on mpaka kufikia hiyo 20M ila kitu kizuri ni kuwa tumeweka buy back clause kwenye mkataba pia
Daemushin said: James Garner close to moving to Everton in a deal that could rise to £15m including add-ons. Still work to do to complete but 21-year-old midfielder set to depart Manchester United. ---------- Ingelikuwa liverpool au manchester city wangelipata paundi milllioni 20 kwenda juu Click to expand... Kuna ads on mpaka kufikia hiyo 20M ila kitu kizuri ni kuwa tumeweka buy back clause kwenye mkataba pia
ozark JF-Expert Member Joined Dec 31, 2021 Posts 626 Reaction score 1,594 Aug 31, 2022 #174,050 Daemushin said: James Garner close to moving to Everton in a deal that could rise to £15m including add-ons. Still work to do to complete but 21-year-old midfielder set to depart Manchester United. ---------- Ingelikuwa liverpool au manchester city wangelipata paundi milllioni 20 kwenda juu Click to expand... Dah aisee watu wengine ni walalamishiiii
Daemushin said: James Garner close to moving to Everton in a deal that could rise to £15m including add-ons. Still work to do to complete but 21-year-old midfielder set to depart Manchester United. ---------- Ingelikuwa liverpool au manchester city wangelipata paundi milllioni 20 kwenda juu Click to expand... Dah aisee watu wengine ni walalamishiiii
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,300 Reaction score 46,749 Aug 31, 2022 #174,051 Haaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia..
Pain killer JF-Expert Member Joined Aug 15, 2017 Posts 14,360 Reaction score 21,713 Aug 31, 2022 #174,052 Darmian said: Haaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia.. Click to expand... Nan atamfunga paka kengere
Darmian said: Haaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia.. Click to expand... Nan atamfunga paka kengere
Forgotten JF-Expert Member Joined Jul 20, 2018 Posts 3,630 Reaction score 11,096 Aug 31, 2022 #174,053 Darmian said: Haaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia.. Click to expand... Haaland + City = Timu imeshindikana bado wamemuongeza na Haaland, kocha Pep. Sisi tubakie wasindikizaji tu.
Darmian said: Haaland kwa mwendo huu goli 40 za EPL msimu huu zinanukia.. Click to expand... Haaland + City = Timu imeshindikana bado wamemuongeza na Haaland, kocha Pep. Sisi tubakie wasindikizaji tu.
NtYga JF-Expert Member Joined Aug 23, 2018 Posts 4,945 Reaction score 12,698 Aug 31, 2022 #174,054 Hakika hawa #CheLYatima hawatoboi View attachment 2341352
Wild sniper JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 4,426 Reaction score 8,726 Aug 31, 2022 #174,055 Ndo kwanza Mechi ya 5 huyu mtoto anakimbilia goli 10 asee.
NtYga JF-Expert Member Joined Aug 23, 2018 Posts 4,945 Reaction score 12,698 Aug 31, 2022 #174,056 Erik ten Hag: "I hope [Antony will be available against Arsenal on Sunday]." #GGMU manutd
NtYga JF-Expert Member Joined Aug 23, 2018 Posts 4,945 Reaction score 12,698 Aug 31, 2022 #174,057 Building the foundations #GlazerOUT #GGMU manutd
Forgotten JF-Expert Member Joined Jul 20, 2018 Posts 3,630 Reaction score 11,096 Sep 1, 2022 #174,058 Bernardo Silva to Barcelona Yamebaki masaa 24 dirisha lifungwe. Kuna habari zinasambaa huenda kesho kukawa na transfer activities kwa United.
Bernardo Silva to Barcelona Yamebaki masaa 24 dirisha lifungwe. Kuna habari zinasambaa huenda kesho kukawa na transfer activities kwa United.
Pain killer JF-Expert Member Joined Aug 15, 2017 Posts 14,360 Reaction score 21,713 Sep 1, 2022 #174,059 Forgotten said: Bernardo Silva to Barcelona Yamebaki masaa 24 dirisha lifungwe. Kuna habari zinasambaa huenda kesho kukawa na transfer activities kwa United. Click to expand... Labda benardo Silva wa buza
Forgotten said: Bernardo Silva to Barcelona Yamebaki masaa 24 dirisha lifungwe. Kuna habari zinasambaa huenda kesho kukawa na transfer activities kwa United. Click to expand... Labda benardo Silva wa buza
Forgotten JF-Expert Member Joined Jul 20, 2018 Posts 3,630 Reaction score 11,096 Sep 1, 2022 #174,060 Pain killer said: Labda benardo Silva wa buza Click to expand... Si tetesi tu lakini.