Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
After
Anthony
Malacia
Licha
Ericksen
Casemiro
Soon Yule GK wa Newcastle, walau tunahitaji target man mmoja ili tukaipambanie big 4!!!!! Ivan toney atatufaa, ama swap deal ya osimen na Ronaldo(Kuna baadhi ya sources zinasema hivyo)
Somehow #glazersout imefanya kazi Hawa mabwenyenye wameingia mifukoni,,, bila hvo tungepigwa saundi hakuna signing za maana!
Le go reds
#GGMU
Tatizo la english players huwa wanakuja vozur baadae ni kama wanalewa sifa and then wana dissapearHivi Greenwood mpira ndiyo basi tena?
Hivi bado analipwa mshahara? Au anakula chakula cha jela?Hivi Greenwood mpira ndiyo basi tena?
Ten hag amcheki huyu beki vanderson. Right deffender but inverted.. he has speed, dribbling, attacking.. halaf age ya kina antony.Naona tumetangaza oficially deal la Antony.
who & what is next?
Unfortunately naskia tunamtaka Dest..Ten hag amcheki huyu beki vanderson. Right deffender but inverted.. he has speed, dribbling, attacking.. halaf age ya kina antony.
Kama Fofana kauzwa kwa 60M unashangaa Anton kwa 90M? Hao hao Chelsea tena wametoa 90M kwa Gvardiol wa RB ila ikitoa Man U kelele, hapo ndio hua nakubali man U ni kubwa sana na inafatiliwa sana dunianiHuyu antony hata goli 10 eredivise hana afu ndo wakumnunua kwa zaidi ya 90m pounds kweli?
Dest he is more of attacking but defence wise bado sana. The guy ana dribbling nzur ila bado sanaUnfortunately naskia tunamtaka Dest..
Dude he is 34? Labda atumike one seasin ila for future nope
Huyu kocha naona anapendelea waamerica kusini, ni jambo zuri ila huyu Gaitan ni mkubwa hawezi kuwa wa muda mrefu.
Alafu waulize walimnunua Lukaku kwa hela ngapi kutoka Inter na wakamuachia kwa hela ngapi!!?Kama Fofana kauzwa kwa 60M unashangaa Anton kwa 90M? Hao hao Chelsea tena wametoa 90M kwa Gvardiol wa RB ila ikitoa Man U kelele, hapo ndio hua nakubali man U ni kubwa sana na inafatiliwa sana duniani
Hapo ndio utaamini Man U ni kubwa sana, bei za wengine huwezi sikia kelele itoe hela man u sasa mpaka ma pundit wataongea 😂Alafu waulize walimnunua Lukaku kwa hela ngapi kutoka Inter na wakamuachia kwa hela ngapi!!?
Hiyo post nimeiweka kiutani.Huyu kocha naona anapendelea waamerica kusini, ni jambo zuri ila huyu Gaitan ni mkubwa hawezi kuwa wa muda mrefu.
Ktk dirisha hili la usajili huyu mtu endapo akapewa nafasi atashangaza sana watu wengi na mapungufu yetu makubwa sana tuliyopitia msimu uliopita yataonekana. Huu unaweza kuwa ndio usajili bora zaidi kuliko hata wa Lisandro na Malacia.hapa bado striker na full back tu kazi tumalize kipa tayari.View attachment 2339133