Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
- Thread starter
- #1,721
He will get injuries again, msifurahi sana!
...na ulegee!
watu wako wapi leo hapa ukumbini?
Jamaa wametoroka baada ya kuona Man U wameshilikia usukani wa ligi. N hii huenda ikawa ndio "for good" hadi mwisho wa ligi.
Chelsea poleni sana!