Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The blues bora wakae tu kimya kuhusu kukandwa na Brentford wao walikandwa kwao tena sisi kelele kibao.
 
Nyie vichaa mnamikakati gani kuhusu next match?

This time around ntakua upande wenu, liverkuku mumkate moto mapema
Vita yangu iwe kwa city tu
We jamaa una wenge kweli.
Arsenal sio timu ya kuchukua ubingwa, labda mika 50, mbele.
 
Me mwenzenu mpaka sasa sijui tatizo ni nini?
Tushafukuza makocha weee mpaka kichefuchefu.
Tushatimua wachezaji mpaka haibu.
Kilicho baki me nakubaliana na matokeo yoyote yale, tufungwe hata goli alfu saba poa tu.

Chamsingi mimi ni shabiki wa Man utd kufa na kuzikwa nayo, hakuna wakunitenganisha nayo labda umauti, pronto.
 
Matatizo nimeona ni midfield kisheti, tukitulia kwenye middle bas.

Lkn pia magiure amefeli. Tena kapten noway, ukiangalia mech alizocheza ameboringa vby mno. Ajabu makocha wanamuweka wanamuacha Bailly?? Kweli??
 
HUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,

Adrien #Rabiot’s deal

Salary request: 9M/year + add-ons

#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus

Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)

Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
 
Daaah
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
 
Hii ndo shida ya kutosajili mapema,tulionya huyu de jong kumng'ang'ania atatucost kwa wachezaji wengine,
 


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…