Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mazoezini huwa unaenda mkuu?
 
Angalieni mpira wa kisasa na WA kibingwa unaochezwa na Chelsea bingwa wa Dunia kule darajani mjifariji nafasini mwenu
 
Anazomewa sababu alikataa kujiunga na Westham akaenda jiunga na Forest kwa sababu ya pesa, mbaya zaidi katoa assist ya goli.
Okay japo namuona kaisha Sana Hana speed ileee.


Enda
Jamani Leo nimependa fight ya tuchel na conte.

Imemaliza machungu yangu ya Mimi man utd dam dam. Nataka kocha awe mkorofi inaweza ikasaidia. Namuombea Eric ten hag awe mkorofi
 
Okay japo namuona kaisha Sana Hana speed ileee.


Enda
Jamani Leo nimependa fight ya tuchel na conte.

Imemaliza machungu yangu ya Mimi man utd dam dam. Nataka kocha awe mkorofi inaweza ikasaidia. Namuombea Eric ten hag awe mkorofi
Kwa kikosi gani huyo kocha wenu awe mkorofi?!😆😆 nyie mnachekesha kweli aisee!

Unaanzisha ugomvi kama una wanaume kweli uwanjani, sio ule utumbo wenu.. alaaah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…