Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mpira ulibadilika zile dakika alizoingia ronaldo tu huku kwingine ujingaaa hakuna kituuu..
 

Afukuzwe ETH halafu aje nani?? Bado kuna watu wanaamini shida ya Man U ni kocha??
Work rate, mentality, technical ability, aggressiveness, physicality etc.. ya wachezaji wengi (60%) ni poor(in Steve Nyerere's voice).
Ralf Rangnick alikuwa sahihi aliposema tunahitaji overhaul/open heart surgery.
Nadhani siku atakayofukuzwa ETH mashabiki wanaweza ku turn against the board.

Msimu wa mwisho wa Ferguson alikuwa na wachezaji wa kawaida ila work rate yao ilikuwa kubwa. Hawa wachezaji wa sasa tumejaza majina ila uwanjani mdebwedo.
 
Pep EPL imembadilisha alivyokuja amemtumia Fernandinho ambaye ni physical na alivyoona amechoka akam-replace na Rodri ambaye ni physical pia ni ngumu kupata success kwenye EPL kwenye hii era kama huna DM mzuri na hii ndio weakness yetu kubwa kwa sasa.Fabinho,Rodri,Kante,Hodjberg,Rice,Ndidi,Neves ni wachezaji ambao wanaleta balance kwenye timu zao DM ilipaswa kuwa priority ya United hata kama wangempata FDJ ,I think ETH atakuja kugundua hili January au mwisho wa msimu while ni tatizo ambalo linajulikana wazi.There must be balance kati ya results & rebuild ,kama matokeo hayatakuwa mazuri Glazers wanaweza mfukuza kazi mapema .I believe wachezaji bora wapo na sio tu wale aliowafundisha tu au waliocheza Holland tu,hizi habari za kutaka kuwasajili Rabiot na Arnautovic zinaonyesha hakuna kilichobadilika
 
Kama unaona tetesi za sasa sokoni tunatafuta DM, tumekuwa linked na DM kadhaa, Rabiot, yule wa Real Betis etc. Mpaka sasa hatujui ETH anataka nini. Kuna uwezekano amemkosa FDJ hivyo ameamua kwenda na DM wa kawaida na box to box (kama tetesi za sms ni za kweli)

Na Fernandinho na Rodri wote ni Baller mkuu. Ni Dm ila sio zile design za Destroyer wapo average kwenye ukabaji ila wapo vizuri zaidi kwenye kupiga pasi na kuretain possesion angalia stats za rodri hapa

Pia kante sio DM, Dm wa chelsea ni Jorginho,same situation kama ya FDJ ambaye ni Playmaker ila anakaa nyuma na mbele yake anacheza Midfield kazi.

Kwa sisi Dm wetu ni lazima ajue kuchezea mpira, kina Mcfred hawana uwezo wa kutoa mipira haraka kutoka kwa beki kwenda kwa viungo washambuliaji, mtu kama FDJ anatufaa sana kuliko Ndidi.

Kina leicester wanaweza cheza na watu kama Ndidi sababu ya wachezaji kama Tielemans na Madison ambao wanacover weakness yake ya Ushambuliaji sisi hatuna Tielemans wetu.

Angalia mechi ya Brighton Eriksen alivyoshuka mpira ulivyobadilika.
 
Chief stats zao haziwezi kuwa juu kwenye kukaba sababu most of the time wao ndio wanamiliki mpira na there is nothing to destroy when you have most of the ball na inategemea unawalinganisha,Kante hata kama sio DM but ni mchezaji muhimu kuliko Jorginho na ndio anamfanya Jorginho awe free.Assesment yangu sio kwa game ya juzi i will be back tukicheza hizi big match kama 2
 
Tunarudi pale pale kuku na yai nani katangulia, hawakabi sana sababu wana possesion, wana possesion sana midfield zao zinajua kukaa na huo mpira, ingekua wana Ndidi ama kante unafikiri wangekaa na mpira hivyo?

Concept ni hivyo hivyo kwa ETH, anacheza Possesion based football anahitaji Midfield ambazo zipo comfortable na mpira, ndio maana nikakupa mfano wa Brighton Eriksen alivyorudi nyuma, you could see tunatengeneza nini, Fdj ni much better kuliko Eriksen kwa hio role.
 
Yaani wee kama gk utasubutu kumwamzishia mpora magwaya😲😲😲
Yule ata bibi yangu akiwa na mpira anasema kabisa huo mpira unapotea🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tulivyocheza na Brighton tukicheza hivyo against big teams aibu kubwa sana itatupata.

Sijajua ni kitu gani kimewapata wachezaji wetu wengi mbona msimu wa kwanza wa na wa pili kwa Ole walikuwa wanacheza vizuri tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…