mpira ulibadilika zile dakika alizoingia ronaldo tu huku kwingine ujingaaa hakuna kituuu..Tulianza vzr bhn. Dynamics za mchezo huwa zinabadilika kulingana na scoreboard kwa wakati fulani. Kama Bruno angefunga ile nafasi pengine tungekuwa tunazungumza mambo mengine.
Hali ilianza kuwa mbaya baada ya kufungwa. Second half kulikuwa na drastic improvement baada ya Eriksen kushuka chini.
Now ETH ana-struggle kwenye some issue but RR alisha-observe mengi i hope angemsaidia,kuna matatizo ETH atayajua baada ya msimu kuisha ndio maana ameanza kutaka kufanya panic buy baada ya kufungwa juzi.
ETH anaweza fukuzwa au jiuzulu within 2 years then tukaanza upya
Pep EPL imembadilisha alivyokuja amemtumia Fernandinho ambaye ni physical na alivyoona amechoka akam-replace na Rodri ambaye ni physical pia ni ngumu kupata success kwenye EPL kwenye hii era kama huna DM mzuri na hii ndio weakness yetu kubwa kwa sasa.Fabinho,Rodri,Kante,Hodjberg,Rice,Ndidi,Neves ni wachezaji ambao wanaleta balance kwenye timu zao DM ilipaswa kuwa priority ya United hata kama wangempata FDJ ,I think ETH atakuja kugundua hili January au mwisho wa msimu while ni tatizo ambalo linajulikana wazi.There must be balance kati ya results & rebuild ,kama matokeo hayatakuwa mazuri Glazers wanaweza mfukuza kazi mapema .I believe wachezaji bora wapo na sio tu wale aliowafundisha tu au waliocheza Holland tu,hizi habari za kutaka kuwasajili Rabiot na Arnautovic zinaonyesha hakuna kilichobadilikaEth kuondoka sio issue, ila kuwa na Consistency ya makocha ndio tunakosea.
Wachezaji wa RR wasingefit kwa ETH, kama unakumbuka speech zake alisema tunamiss Physical and Agressive players, mfumo wa Gegenpress unataka watu wa design hii, ndio maana Klop anaweza Manage na watu kama Wijnaldum, Henderson, Mane etc.
ETH yeye ni mould ya kina Pep na LVG, mtu wake wa kwanza aliemtaka ni FDJ si physical player, Then kaja Malacia, Martinez na Eriksen, wote hawa si Physical players angalau kidogo Martinez ni Agressive. ETH yeye ni technical zaidi anataka wachezaji ambao wapo comfortable na mpira.
So Kivyovyote vile hawa wachezaji wasingekuja chini ya RR sababu ya philosophy tofauti Zingegongana.
Cha muhimu ni kutengeneza Culture, sisi kama timu tunataka tuwe wapi? Kama tunaamua ku invest kwenye mfumo wa ETH basi hata kama ETH ataondoka aje mtu wa mifumo hii hii, hii itasaidia kupunguza rebuild na hata Academy yetu tutajua wachezaji tunawaandaa vipi.
Timu zote kubwa kama Barcelona, Madrid, Bayern, Man city, Liverpool etc wana Culture na philosophy zao.
Kama unaona tetesi za sasa sokoni tunatafuta DM, tumekuwa linked na DM kadhaa, Rabiot, yule wa Real Betis etc. Mpaka sasa hatujui ETH anataka nini. Kuna uwezekano amemkosa FDJ hivyo ameamua kwenda na DM wa kawaida na box to box (kama tetesi za sms ni za kweli)Pep EPL imembadilisha alivyokuja amemtumia Fernandinho ambaye ni physical na alivyoona amechoka akam-replace na Rodri ambaye ni physical pia ni ngumu kupata success kwenye EPL kwenye hii era kama huna DM mzuri na hii ndio weakness yetu kubwa kwa sasa.Fabinho,Rodri,Kante,Hodjberg,Rice,Ndidi,Neves ni wachezaji ambao wanaleta balance kwenye timu zao DM ilipaswa kuwa priority ya United hata kama wangempata FDJ ,I think ETH atakuja kugundua hili January au mwisho wa msimu while ni tatizo ambalo linajulikana wazi.There must be balance kati ya results & rebuild ,kama matokeo hayatakuwa mazuri Glazers wanaweza mfukuza kazi mapema .I believe wachezaji bora wapo na sio tu wale aliowafundisha tu au waliocheza Holland tu,hizi habari za kutaka kuwasajili Rabiot na Arnautovic zinaonyesha hakuna kilichobadilika
Chief stats zao haziwezi kuwa juu kwenye kukaba sababu most of the time wao ndio wanamiliki mpira na there is nothing to destroy when you have most of the ball na inategemea unawalinganisha,Kante hata kama sio DM but ni mchezaji muhimu kuliko Jorginho na ndio anamfanya Jorginho awe free.Assesment yangu sio kwa game ya juzi i will be back tukicheza hizi big match kama 2Kama unaona tetesi za sasa sokoni tunatafuta DM, tumekuwa linked na DM kadhaa, Rabiot, yule wa Real Betis etc. Mpaka sasa hatujui ETH anataka nini. Kuna uwezekano amemkosa FDJ hivyo ameamua kwenda na DM wa kawaida na box to box (kama tetesi za sms ni za kweli)
Na Fernandinho na Rodri wote ni Baller mkuu. Ni Dm ila sio zile design za Destroyer wapo average kwenye ukabaji ila wapo vizuri zaidi kwenye kupiga pasi na kuretain possesion angalia stats za rodri hapa
Rodri Scouting Report for | FBref.com
Compare Rodri to others in passing, goal scoring, attacking, defense and more for thefbref.com
Pia kante sio DM, Dm wa chelsea ni Jorginho,same situation kama ya FDJ ambaye ni Playmaker ila anakaa nyuma na mbele yake anacheza Midfield kazi.
Kwa sisi Dm wetu ni lazima ajue kuchezea mpira, kina Mcfred hawana uwezo wa kutoa mipira haraka kutoka kwa beki kwenda kwa viungo washambuliaji, mtu kama FDJ anatufaa sana kuliko Ndidi.
Kina leicester wanaweza cheza na watu kama Ndidi sababu ya wachezaji kama Tielemans na Madison ambao wanacover weakness yake ya Ushambuliaji sisi hatuna Tielemans wetu.
Angalia mechi ya Brighton Eriksen alivyoshuka mpira ulivyobadilika.
Tunarudi pale pale kuku na yai nani katangulia, hawakabi sana sababu wana possesion, wana possesion sana midfield zao zinajua kukaa na huo mpira, ingekua wana Ndidi ama kante unafikiri wangekaa na mpira hivyo?Chief stats zao haziwezi kuwa juu kwenye kukaba sababu most of the time wao ndio wanamiliki mpira na there is nothing to destroy when you have most of the ball na inategemea unawalinganisha,Kante hata kama sio DM but ni mchezaji muhimu kuliko Jorginho na ndio anamfanya Jorginho awe free.Assesment yangu sio kwa game ya juzi i will be back tukicheza hizi big match kama 2
Yaani wee kama gk utasubutu kumwamzishia mpora magwaya😲😲😲Mkuu, bila kupata DM kwenye hii timu kila mchezaji tutaanza kumuona hamna kitu.
Hebu tujiulize ni kwanini Maguire alikuwa mzuri hapo Leicester na leo tunamuona mzembe?
Muda sio mrefu hata Martinez tutaanza kuona tumepigwa,timu haina mtu wa kuichezesha. Tominay akipata mpira anafanya kazi ya kurudisha nyuma kwa kipa,akitaka kwenda mbele ndio kituko zaidi hajui hata pa kuupeleka mpira.
Mimi nadhani tukipata DM ataongoza pale kati vizuri,pale kati pamekosa kiongozi hawa akina Macfred wanacheza kama wamekatwa vichwa lazima akina Maguire waendelee kuonekana vituko. Japo Maguire amekuwa mzembe mzembe bado siamini kama ni beki mbaya sana kama tunavyomsema.
Tatizo lingine lipo kwa DDG, uwezo wake wa kucheza na wachezaji ni mdogo sana,ni muoga na hajiamini kila akirudishiwa mpira anabutua. Sasa sijajua labda ni hawaamini wachezaji wake au ni yeye hajiamini.
Alafu ndo fowardJadon Sancho since arriving in the Premier League:
• 30 games
• 3 goals
• 3 assists
A flop nobody is talking about.
Ukitoa drama zake nje ya uwanja Rabiot anatufaa mkuu, na inasemekana Kocha mwenyewe amempigia simu, hivyo huwenda akaenda straight kwenye first 11.Chief-Mkwawa mkuu hivi hatatufaha kweli uyu kwenye kiungo chetu
Maana naona kama anaweza kuja hivi.View attachment 2319111
Nasikia mama yake ambayo ndo wakala wake anazingua sanaUkitoa drama zake nje ya uwanja Rabiot anatufaa mkuu, na inasemekana Kocha mwenyewe amempigia simu, hivyo huwenda akaenda straight kwenye first 11.
Tulivyocheza na Brighton tukicheza hivyo against big teams aibu kubwa sana itatupata.Chief stats zao haziwezi kuwa juu kwenye kukaba sababu most of the time wao ndio wanamiliki mpira na there is nothing to destroy when you have most of the ball na inategemea unawalinganisha,Kante hata kama sio DM but ni mchezaji muhimu kuliko Jorginho na ndio anamfanya Jorginho awe free.Assesment yangu sio kwa game ya juzi i will be back tukicheza hizi big match kama 2
Adrien Rabiot ni kiungo mzuri ila tabia yake mtihani mkubwa.Chief-Mkwawa mkuu hivi hatatufaha kweli uyu kwenye kiungo chetu
Maana naona kama anaweza kuja hivi.View attachment 2319111
Hata Roy Kean watu walimcheka sana Ferguson. Nadhani aje na kipaji chake, tabia tutavumilia.Adrien Rabiot ni kiungo mzuri ila tabia yake mtihani mkubwa.
Tujapata pogba mpya kweli hapa mzee,maana tumechoka na wachezaji wa drama.Ukitoa drama zake nje ya uwanja Rabiot anatufaa mkuu, na inasemekana Kocha mwenyewe amempigia simu, hivyo huwenda akaenda straight kwenye first 11.
Roy keane utukutu wake ulikuwa ndani ya uwanja sio nje sasa hawa wa nje ya uwanja ndo hatari.Hata Roy Kean watu walimcheka sana Ferguson. Nadhani aje na kipaji chake, tabia tutavumilia.