Ralf Rangnick alisema tunahitaji total overhaul aka open heart surgery.Kusema hivyo haimanishi kuwa hahitaji wachezaji.
Hata kama wewe boss wako amekupa kazi ungesema publicly kuwa resources ulizonazo hazikutoshi ?
Akisema wachezaji wake hawana talent bado watakuwa na sababu ya kufanya nae kazi ?
Wachezaji wetu wengi ni luxury na inaonekana wanatatizo la kutokuwa na nishati ya kutosha na kukosa game concentration.
Mpaka sasa tatizo siyo makocha tena
Mifumo mkuu, si kila mfumo unamfit mchezaji 100%.Ila Fernandes aisee amedrop sana..sijui wenzangu mnamuonaje..
Ila mkuu realistically hatuwezi sajili wachezaji 11, assume anakuja Striker na mid mpaka usajili unafungwa ina maana wachezaji wa 5 tayari hao si mbaya, na hapo hatujavunja Kibubu ina maana january tunaweza kusajili tena.Ralf Rangnick alisema tunahitaji total overhaul aka open heart surgery.
Naanza kumuonea huruma ETH.
Mifumo mkuu, si kila mfumo unamfit mchezaji 100%.
Sema jana kuna muda Eriksen alidrop chini, kulikuwa na Build up za hatari pale katikati, zilipigwa gonga za maana kutengeneza nafasi. Kwa form ya Rashford sitashangaa Bruno ama Eriksen mmoja akaenda pembeni ili ku Acomodate VDB ama midfield mwengine kama Rabiot/Garner tucheze mpira wa ETH.
sawa umemleta malacia akae nje na kuna sehemu ni dhaifu sana kama kiungo hata wachezaji wawili wangetosha halafu huko mbele waongezwa wengine muhimu ilikuwa kiungoIla mkuu realistically hatuwezi sajili wachezaji 11, assume anakuja Striker na mid mpaka usajili unafungwa ina maana wachezaji wa 5 tayari hao si mbaya, na hapo hatujavunja Kibubu ina maana january tunaweza kusajili tena.
jana alionza kuonesha nani anamuamini na hata ile sub angeanza kutoka Mctominay sio fredMpaka sasa hata hatujui mipango ya Kocha, Garner hajauzwa wala kutolewa mkopo hatujui kocha ana plan gani nae, hayupo fit kuanza maybe ndio maana Mc Tominay ameanza, Tumpe muda Kocha tutajua baadae mbivu na mbichi.
sasa wasajili sehemu muhimu kama kiungo wana beki watatu wa kushoto na ameongezwa mwengine kati pia kuna kama watano wameongeza mwengine ila dm hamna na hawajaongeza mtu rebuilding gani inakuwa hivyoUtd fans Ni sikio la kufa!
Tulishaambiwa ni Ni re-building,,, sio process ya siku moja au mwaka mmoja,,,,
Mnataka timu nzima isajiliwe kwenye window moja ? Ni Kitu ambacho hakiwezekani, hata kidogo ,,, ! It will take time,,,
Au mnataka tuchukue EPL na combination ya macFred?, !!!!
Wenzetu wako too professional kwenye kuendesha timu zao,sio Kama sisi huku Africa tunaendesha na mihemuko, kukomoana na siasa ! mfano kila window lazima wanaangalia outgoings na incomings, ili kubalance madaftari yao kibiashara na kuepuka rungu la FFP,,,, !!
EtH apewe muda, naamini board itamsapoti, ndani ya misimu walau miwili ndio tuje hapa tupime uwezo wake,,,,!!! Kuna kitu anakiongea Sana hatumuelewi(right player), alafu enzi za punic buying za Woodward zilishapita,,,, ! (rejea kina falcao, dimaria, rojo ,blind , n.k, mikataba minono , hamna wanacho-deliver)
Pep alipokuja city pamoja na wahuni wale wa kiarabu kumwaga hela atakavyo lakini ilimchukua zaidi ya msimu mmoja kuijenga city tunayoiona Sasa hivi,,, ,,
Vile vile klop alikuta magarasa kibao akayasafisha na kusajili karbia misimu minne, ndio liver tunayoiona Leo kila msimu wanagombania kombe,, !!!!
Utd sasa baada ya mechi moja kila mtu anaongea yake,,, serious tunataka kuchukua epl au, !! EtH sio kocha mmbaya, tumpe muda, tukubali kebehi, maumivu na masimango ya kila namna kutoka kwa majirani zetu ,,, !!
Thought on other teams,,, ??
City untouchable
Liver wako Good, mid yao tia maji tia maji waombe Sana wachezaji wao wawe fit na consistent!
Arsenal ni Ile ile miaka nenda rudi
Chelsea wakikaza wanaweza kuingia top four
Spurs,,,dah Conte tunamchukulia poa ila this time anaweza kutupa lesson!
Trust the process,,, Glory Glory Utd
Najua.Ila mkuu realistically hatuwezi sajili wachezaji 11, assume anakuja Striker na mid mpaka usajili unafungwa ina maana wachezaji wa 5 tayari hao si mbaya, na hapo hatujavunja Kibubu ina maana january tunaweza kusajili tena.
Kila mtu na role yake uwanjani, ETH anacheza na Deep lying playmaker ambaye anakaa deep na kudistribute mipira, baina ya Fred na Mctominay jana Fred alicheza hio role, wakati huo Eriksen alikuwa kama false 9.jana alionza kuonesha nani anamuamini na hata ile sub angeanza kutoka Mctominay sio fred
Realistically hatucompete Epl labda Europa. Tupate tu bahati tuingie hio top 4, ila nayo pia ni ngumu sana maana timu 3 zinagombania nafasi moja.Najua.
Ila hatuna na right players wa kupambana na huu msimu.
Kama unafuatilia mkuu Telles yupo Sevila, Malacia ni Backup ya Shaw.sawa umemleta malacia akae nje na kuna sehemu ni dhaifu sana kama kiungo hata wachezaji wawili wangetosha halafu huko mbele waongezwa wengine muhimu ilikuwa kiungo
Weakness ya beki ya jana wote Maguire na Martinez hawana speed na Epl speed muhimu sana.Mkuu Chief-Mkwawa
What's your opinion kuhusu position ya Maguire kwenye huu mfumo wa high line?
Ukitoa strengths zake kama mipira ya juu na passing, Ni kitu gani makocha wanaona kwa Maguire ambacho sisi wengine hatuoni?
Ni kama naona huu mfumo unamfaa zaidi Bailly kuliko CBs wote tulionao. Jamaa yupo vzr in terms of pace, aggressiveness, positioning etc..
Muhimu sana siku hizi Kwa midfield kuwa na uwezo wa kuchenga press za wapinzani, upo sahihi mkuu analysis yako,Eriksen akiwa deep nadhani ndo anaweza kuleta ile desired impact. Dalili ni nzuri! Kama forwards wetu watakuwa clinical, basi atamaliza msimu na assists za kutosha
Japokuwa Eriksen siyo reckless akiwa na mpira ukilinganisha na Pogba, bado naona anakuwa easily pressed. Timu pinzani zitam target kumpokonya mpira. Na ndo hapohapo tunarudi kwenye agenda ya proper DM
Weakness ya beki ya jana wote Maguire na Martinez hawana speed na Epl speed muhimu sana.
Maguire mkuu ni ball playing defender, anapiga pasi za maana na ndefu ngumu kukuta anapiga vibaya. Mpira wa kisasa unahitaji hadi kipa ajue kupiga pasi. Ndio maana huoni akikaa bench.
Bailly anafit mifumo ya Kina Ole, Mou na makocha wengine wanaocheza low Block. Nafkiri Mou atamchukua Roma.
PointKwa tetesi ni kwamba ETH alisema mwenyewe FDJ or bust, akimkosa FDJ atadevelop mwengine.
Hilo la Dalot hata mimi nilishaliongea sana tu, jamaa ni pazia nyuma, quality yake kubwa ni kuprogress tu mpira hata end product yake si nzuri. Tunaweza ziba mapungufu yake kwa kucheza na midfield wa kulia atakayecover nafasi yake akipana (Fdj alikuwa pia na hii role Ajax)
PointEriksen akiwa deep nadhani ndo anaweza kuleta ile desired impact. Dalili ni nzuri! Kama forwards wetu watakuwa clinical, basi atamaliza msimu na assists za kutosha
Japokuwa Eriksen siyo reckless akiwa na mpira ukilinganisha na Pogba, bado naona anakuwa easily pressed. Timu pinzani zitam target kumpokonya mpira. Na ndo hapohapo tunarudi kwenye agenda ya proper DM
Mimi sio mchambuzi mzuri wa mpira ila pia niliona kwann nafas ya maguire asicheze baily naona yuko vizur kuliko huyu capt uchwara 🙂Mkuu Chief-Mkwawa
What's your opinion kuhusu position ya Maguire kwenye huu mfumo wa high line?
Ukitoa strengths zake kama mipira ya juu na passing, Ni kitu gani makocha wanaona kwa Maguire ambacho sisi wengine hatuoni?
Ni kama naona huu mfumo unamfaa zaidi Bailly kuliko CBs wote tulionao. Jamaa yupo vzr in terms of pace, aggressiveness, positioning etc..
Sababu Baily ni reckless, ana adventure nyingi, zikikubali adventure zake kinatokea kitu kizuri zikikataa tunakuwa exposed.Mkuu,
Weakness ya Martinez siyo speed ni physique(esp. Height yake)
Unawezaje kucheza high line ikiwa beki wako hana pace?
Kwenye huu mfumo, Which factor can be compromised, pace au ball playing ability ya defender? Pengine mm ndo sielewi au
Who is more suited kwenye huu mfumo wa high line? Maguire au Bailly?
Wote tunafahamu Maguire hana pace, tukicheza high line anakuwa exposed. Msimu wa 19/20 kuna kipindi tulicheza mechi kadhaa bila ku concede, tulikuwa tunacheza low block na Maguire alishine sana.
Sasa unaposema Bailly anafit kwenye low block pekee nashangaa