huu ubishi hapa uliishafungwa, labda kama unataka kuurudisha, tumeishakubaliana huyu Ronaldo was sasa hamna kitu.Hivi ule ubishi wa kipuuzi ronaldo copy (original ni delima) na messi lapulga, uliokua unakuzwa na mashabik wa man u.
Bado upo/unaendelea?
Nikiwarudisha nyuma, moja kati ya sababu mlizokua mnapa cr7
yeye ni jeshi la mtu mmoja
Mbona nyumbani hali ni mbaya hataki kuonesha uo ujeshi wake?
Anacheza team yeyote,
Mbona ataki kubaki hapa hapa sasa. Mbaya zaidi hakuna anayemhangaikia kwa sasa
Anapenda challenge
Niambie sasa, challenge za hapa nyumbani ashazimaliza?
Messi ata sasa hivi akikaa sokoni kuna vilabu vingi sana vitamuhitaji
Akiwepo real Madrid, atletico, timu kubwa zote za EPL
Series A, timu kubwa zote
Tuurudie angalau kwa wiki moja tu mkuuhuu ubishi hapa uliishafungwa, labda kama unataka kuurudisha, tumeishakubaliana huyu Ronaldo was sasa hamna kitu.
Ila usikimbie tu uzi baadaeMuda wa kupata furaha yani nasikia tu kelele tu hapa mafans wanamzuka kwerikweri wa mechiView attachment 2317104
We nae tupitie misimu miwili ya tanuli la moto, akati sisi wenyewe tumekuwa ndio tanuri la moto lenyewe misimu ya kutosha.Hiki ndicho kitu watu wengi humu hawakielewi. Wana matarajio ya ajabu kweli kweli, lazima tukubali kupitia misimu miwili ya tanuli la moto.
Sasa hivi naona juu kule ktk bodi wameanza kugundua ni zaidi ya pesa inayohitajika ili kujenga timu nzuri. Unahitaji watu sahihi kwanza kabla ya kuanza kutumia pesa.
Leta takwimu za msimu uliopita kulinganisha na huyo messi,huu ubishi hapa uliishafungwa, labda kama unataka kuurudisha, tumeishakubaliana huyu Ronaldo was sasa hamna kitu.