Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We nae tupitie misimu miwili ya tanuli la moto, akati sisi wenyewe tumekuwa ndio tanuri la moto lenyewe misimu ya kutosha.

Umeanza kushabikia manchester united mwaka gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
New season new hopes,,,,,

Guys hii timu iko na uozo mwingi,,,, !!!! Tumpe muda ETH ajenge timu, asajili wachezaji wanaoendana na mfumo wake ,,,,

Huu msimu kuingia top four hio Ni Kama reward kwetu,,,, !!!! Kuna magalasa mengi Sana ya kuyaondoa ,,,,

So mwana utd usitegemee muujiza kwenye huu msimu,,,, !!!!!

All the best kwetu,,, ! Tukumbuke ETH alisema asipopata right player anaemuhitaji atatumia Hawa Hawa waliopo, means atawa_transform! Let's see !!!


#glory glory Mufc
 
Tutegemee performance nzuri regardless ya matokeo. Kikosi kilichoanza watu wote wana work rate kubwa, hamna ambaye atategea
 
I do not compare people. I have a well established brain capability to evaluate anything and anyone based on merit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…