Hilo unaloita "kombe lao" nalo bado hamtalipata msimu huu!
Msipofuzu uefa ni historia yenu mpya mmeweka. Ni bora na hiyo nafasi ya nne mkuu kuliko nafasi ya nane! a
Fungie alikaa miaka mingapi old trashford bila kikombe .... .... .... .... ... Wacha ngebe ongelea timu yako ambayo share zake zinaporomoka kama uyoga Phew! Get a life nafahamu una huzuni lakini huzuni yako haiwezi kuifanya Gunners ishike mkia kwenye kinyang'anyiro cha EPL .... .... ... ... Washabiki halisi wa Manure wote wamekimbia umebaki wewe kuwangawanga tu baada ya kuja juzi tu hapa na historia yako ya Manure imeanza 1996 wakati prof ameingia Emirates fact. Another fact umeanza kushabikia Manure wakati wa wimbi kubwa la mashoga Fact.
Hii ni timu ile ile aliyoiacha Fungie hujiulizi kwa nini haishindi kama wakati wa Fungie? Fact Brown envelopes zilitawala. USILIE SANA MBU KAKWAMBIA UTAZOEA TU.
khe khe khe khe keh keh khe keh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
On the other hand, tbh, SAF left the club with average players. But, b'se he was the genius, he had the ability to make an average player, a world class player in disguise.
David's task is to create, buy and develop players that would fit his tactics and philosophy for the good of the team.
I still give him 100% support and trust.
Let's do this #ManUnited
Hujielewi....hii ni mara ya mwisho kukujibu...
Nzi
Ushabiki wako wa kinazi weka pembeni, huchelewi kusema Arsenal, hapa tunazungumza Manchester United na kama mpenzi wa mpira
Moye alikuwa miaka 10 lakini kweli alistahili kuichukuwa Manu pale ilipo? Kweli SAF hakuweza kuenda nae kama trainee?
Kiushabiki, kwanini asichukuliwe Bruce au Hughes ambao wametokea Manchester na tayari wana uzoefu wa coaching?
Sio kawaida ya Man kufukuza coach(SAF aliiweza timu miaka yote) lakini timu zote hasa za UK wanatizama intrest zao ziko wapi, utakuja niambia kama Manchester wakikosa mapato wanayopata basi wala hawataona tabu ya kumfukuza Moye
Kama nilivyokueleza hapo juu Arsene yupo kwa intrest ya timu, kwa kumbukumbu zako tokea Arsene amekaa kwenye Arsenal ametengeneza kiasi gani ya mapato kulinganisha na timu nyingi kama sio zote za UK
Tujadili mpira kama wapenzi wa mpira ushabiki maandazi weka pembeni
Ubishi wangu upo chifu?
Toa jina....
Mkuu hilo ndio jina la moyes?
''Manchester United manager David Moyes sees tenure marked by £220m being wiped off stock market valuation
Manchester United manager David Moyes' failure to chase down Premier League's top four has seen the club's worth tumble by £220m in a month ..... ...... ....... ........ ......''
Get me out of here mourns Mo No .... ....
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kny Mentor i n g I d i o t s ..... ...... ......
Kwa hiyo kwa sababu Mark na Steve walikuwa wachezaji na wana uzoefu wa ukocha ndo wapewe mikoba?
Sasa unaleta utani, hao na David kwenye ukocha nani mwenye angalau mafanikio ukiwalinganisha?!?
Mimi bado naona David anafaa, ni vigumu sana kuweza kufanya mara moja kile mtangulizi wako amekifanya katika miaka 27.
Ndio kwanza msimu wa kwanza hata haujaisha, lakini analaumiwa!! #Funny
Kuhusu mapato, ndio, yaweza kuwa na athari. Lakini brand ya #ManUnited ni kubwa mno kustamble ni couple of years to come. Hiyo ni kwa mujibu ya wachumi kwenye timu. Ina resources za kuweza kumudu financial crisis for sometimes.
Hivi unajua Liverpool pamoja na kuonekana kama wamepotea, wao ndio hadi sasa wenye the highest sponsorship deal kwenye EPL?!?
It is hard to wash away histories of some big clubs like #ManUnited such histories are pivotal in saving the club financially.....
It is terribly bad for the time being, but I wouldn't throw the towel now......
I am still very optimistic......
WOW!!!! Club's worth went down by £220 million in a month!!!! More No is a big disaster.
Unayosema kweli lakini kuhusu interst nitabaki paleplae Hao matajiri usiwaone hivyo tungojee mwakani kama mwendo utakuwa huu sijuwi kama Dec itafika utakuja kunikumbusha
Daniele De Rossi celebrates his rediscovered form at Roma
with the help of Maicon. Photograph: Giampiero Sposito/Reuters
The coveted Italian midfielder Daniele De Rossi has said that a move to Manchester United in the summer would have made him suicidal. Manchester United made a bid for the midfielder towards the end of the summer transfer window, according to Roma's coach Rudi Garcia, but it came too late for the club to accept. "I said to him that I couldn't lose him at the last minute so we fixed a date after which he would not move," Garcia told L'Equipe.
"The first league match came and a few days after Manchester United called the club, called him, but the date had passed and he didn't move." Reports at the time suggested United had offered £12m for the player, who was also a target for Manchester City under Roberto Mancini in 2012, a move he turned down. "It was a good thing that I didn't go to Manchester, now I would have committed suicide!" he told Corriere dello Sport. It was unclear whether De Rossi was commenting on United's struggles this season or expressing relief that he was part of a renaissance at Roma that has lifted them to second behind Juventus in Serie A. Or, indeed, giving his opinion on the Lancashire weather. However, it may also have been an expression of the rediscovered form that has made the 30-year-old a certainty for the Azzurri at the World Cup finals in Brazil this summer. "Last summer I didn't feel comfortable, I didn't recognise myself in the relationship with my team-mates and with the fans," he said.